MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,488
- 20,444
Nyumba ya Bakhresa
Nyumba ya 50 cent
Akitolea mfano nyumba iliyozagaa mitandaoni siku chache zilizopita ya mfanyabiashara Bakhresa amesema nyumba hiyo haina thamani iliyotajwa ya bilioni 30 na badala yake thamani yake haizidi hata 5, kila kitu kikiwa kimejumlishwa.
" Kwa thamani ya ardhi ya Fumba na ukubwa na aina ya nyumba ya Bakhresa, thamani yake haizidi bilioni 5, hapo nimetumia factors zote za sekta hii, ni makadirio tunafanya kila siku na sio kuwa tunabahatisha, tafuta mtaalamu yoyote yule duniani atakupa figure niliyokupa na totauti yake inaweza kuwa plus or minus 5%" alisema.
ndg Frolian Rweikiza.
Aliendelea kudai "Nyumba yenye vyumba 52, Swimming pool, basketball court, ziwa dogo, ukumbi wa sinema, night club, tennis court, zoo ya wanyama ilyokuwa inamilikiwa na rapa 50 cent ilifanikiwa kuuzwa kwa dola milioni 3.1 pekee mwaka 2019 na ilikuwa ipo Farmington Connecticut sio Fumba town Zanzibar"
Source Ghafla News.