Huyu ndio Balozi Dola Soul

Teko Modise

JF-Expert Member
May 20, 2017
1,914
6,033
Umuofia…

Miaka ya mwanzoni mwa 2000 moja ya wasanii waliotoa hit song ni msanii Balozi Dola Soul.

Wimbo wake uliompatia umaarufu na mpaka leo unatamba ni ule “Balozi bado nipo”

Ni wimbo ambao hata upigwe leo, lazma utatikisa kichwa kuusikiliza kwa namana kuanzia beat mpaka mashairi yalivyopangwa.

Sasa wengi huwa hawamjui Balozi, kwakuwa aliondoka Bongo na kuhamishia makazi Marekani.

Pichani ndio Balozi Dola Soul
F2EA7900-20C5-42DF-A36A-9E451BD90FBD.png
 
Umuofia…

Miaka ya mwanzoni mwa 2000 moja ya wasanii waliotoa hit song ni msanii Balozi Dola Soul.

Wimbo wake uliompatia umaarufu na mpaka leo unatamba ni ule “Balozi bado nipo”

Ni wimbo ambao hata upigwe leo, lazma utatikisa kichwa kuusikiliza kwa namana kuanzia beat mpaka mashairi yalivyopangwa.

Sasa wengi huwa hawamjui Balozi, kwakuwa aliondoka Bongo na kuhamishia makazi Marekani.

Pichani ndio Balozi Dola SoulView attachment 2730109
Dogo ameshazeeka, anaonekana mzee kuniliko mimi.
 
Back
Top Bottom