Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Zama za Haji Manara zinaelekea mwishoni. Kwa sasa awepo au asiwepo kwenye jambo hakuna kinachoongezeka wala kinachopungua. Sasa ameamua kupambana na wakati hataki kuonekna yeye ni ziada...
11 Reactions
34 Replies
3K Views
01) Kwa Jina halisi hufahamika kama "AGBEPA MUMBA Antoine, Christophe. Yeye ni Mwimbaji,Mpiga Gita,Mtunzi wa Nyimbo, Mpangaji, Mtayarishaji, Mzalisaji, Promota wa Muziki, Mmiliki wa Lebo...
7 Reactions
13 Replies
6K Views
Mtayarishaji wa muziki namba 1 kwa sasa Nchini Tanzania, S2Kizzy ametangaza kupandisha bei ya kurecord wimbo mmoja kwake ambapo bei hiyo itaanza kutumika baada ya mfungo wa Ramadhan. S2Kizzy...
11 Reactions
86 Replies
10K Views
Umuofia… Miaka ya mwanzoni mwa 2000 moja ya wasanii waliotoa hit song ni msanii Balozi Dola Soul. Wimbo wake uliompatia umaarufu na mpaka leo unatamba ni ule “Balozi bado nipo” Ni wimbo ambao...
11 Reactions
40 Replies
7K Views
Nipo hapa natazama the spark ya Clouds Tv kinachorushwa kila siku za wiki saa 11 jioni hadi 12. Namwona Miss Lolo ambaye ni Mtangazaji wa kipindi amevaa blausi ya kijani mpauko kimeabdikwa "Your...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
sikukuu ya kuzaliwa MKE wa Tajiri wa makampuni ya GSM na Mdahamini Mkuu wa Klabu ya Yanga Birthday iilihudhuriwa na wanafamilia / ndugu wa karibu. Maua ni mengi sana yenye kuvutia, itakuwa...
20 Reactions
155 Replies
18K Views
Ukiniambia muimbaji gani wa nyimbo za injili ninayemkubali nchini nitakuambia . Ambwene Mwasongwe. Boaz dunken. Dr ipyana. Abiudi misholi. Paul mwangosi. Wanaimba nyimbo katika roho na...
6 Reactions
22 Replies
3K Views
Nyumba ya Bakhresa Nyumba ya 50 cent Mtaalam ya real estate kutoka kampuni ya Knight Frank Frolian Rweikiza amewatoa hofu vijana wanaotaka kuwekeza katika sekta ya ujenzi kuacha kupagawa na bei...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Kazi ya sanaa kama ilivyo taaluma nyingine inahitaji sana discipline. Na nidhamu ya kazi ni tatizo kubwa sana kwa kaka yetu Juma Nature. Hatukatai Juma ni legend anaepaswa kupewa heshima, ila...
20 Reactions
90 Replies
6K Views
Nimeshangaa wagawa marange, wanatumia pesa kutunza, matajiri wa bilioni na bilioni wakishindwa kumsaidia dada aliyefariki na wao wakitembeza bakuli. Wasanii acheni uongo na ugonjwa ndiyo utajua...
16 Reactions
44 Replies
6K Views
Dada ana uthubutu Sana Kwa hilo nampongeza Sana Itoshe kusema Kwa wanawake wenzake hakuna wa mfikia kina LUNYA, na wadada wengine wajipange kujitosa kumjibu KING KALI ni ushujaa mkubwa Sana
1 Reactions
1 Replies
588 Views
Msanii anayeunda kundi la TNC (Temba, sir nature na chege) chege amefunguka kuwa amestajabishwa na comment ya Sir Nature sina uhakika Yule ni nature mwenyewe kwenye social media kudai kalipwa...
8 Reactions
59 Replies
5K Views
Aisee huyu dogo ni genius wa muziki wa bongo. Nyimbo za vilio vya mapenzi yuko poa. Sikiliza Inatosha na Unanionea utanielewa. Nyimbo za kuruka sikiliza Mama Amina. Nyimbo za kufurahia penzi...
17 Reactions
79 Replies
13K Views
Siku za hivi karibuni kumetokea Msiba wa msanii wa kike wa Bongofleva Haitham. Na mazishi hayo yamefanyika jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na watu mashuhuri na wasanii mbalimbali na mmoja wao...
13 Reactions
241 Replies
14K Views
Huko south afrika ameonekana kijana mwenye kipaji hatari South Afrika. Swali huyu ni mtoto wa nani?
8 Reactions
34 Replies
3K Views
Kitendo cha mtangazaji wa EATV Sam Misago kumtoa nje ya studio Sir Juma Nature weekend iliyopita baada ya kwenda studio kwenye kipindi cha Saturday Night Live akiwa na ndala na kaoshi...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
1. Hasheem Thabeet net worth: Hasheem Thabeet is a Tanzanian professional basketball player who has a net wroth of $8 million. Hasheem Thabeet was born in Dar es Salaam, Tanzania in February...
4 Reactions
59 Replies
44K Views
WAKUU NAFIKIRI KWEMA, NDUGU ZANGU WA HIP HOP NAWAOMBA HAPA. At their peak, Albert Mangwair na Chid Benz nani alikuwa noma? Forgive me Albert Mangwair Chid Benz
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Naangalia kwenye TV hapa. So far naona Jay Melody ndio amewakuna mashabiki na Barnaba kidogo. Zuchu naona kama ana force kingi kwa mashabiki. Ngoja tuendelee kuona
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Naona Wasanii mbalimbali Wamepost wakisema kwamba anaumwa Watu watume pesa Achangiwe Bila kusema Shida ni nini Huku Baadhi ya Comments zikisema Binti ambaye ni Msanii amekuwa akitumia Bangi na...
12 Reactions
201 Replies
23K Views
Back
Top Bottom