Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kwa wapenzi wa Computer animated movies mtakuwa mnafahamu kua muvi za animation hasa za kati ya mwaka 2008-2023 zipo realistic sana hadi unashindwa kutofautisha kama hii ni animation au Muvi ya...
12 Reactions
52 Replies
5K Views
Si haba kuona wasanii wetu wakifikisha views million 2 kwa siku na zaidi kuingia number 1 trending the same day kuwashinda hata wanigeria kama kina Burnaboy wizkid Davido etc. Shida inakuja kwenye...
10 Reactions
75 Replies
4K Views
Kwanza ni mahusiano ambayo watu au mashabiki wengi hawajayakubali na hili litamfanya Dai ampende zaidi na kuwa prove wrong watu wanao yaponda mahusiano yao. Lakini watu wanasahau kuwa mapenzi sio...
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Watanzania Tunakulilia Baba 😭 @haithamkim X @wyse_tz Official Video is out ‼️
7 Reactions
23 Replies
5K Views
Habari wakuu! Baada ya kila mtu kusikiliza kwa makini na kutazama video mpya ya msanii Diamond Platinumz Dangote " Baba Tee", Bila unafiki kabisa, haya yafuatayo ni mawazo ctrically juu ya...
0 Reactions
44 Replies
14K Views
Ni baada ya show huko Zanzibar Alikiba alipokua akifanyiwa mahojiano na Ayo tv Gafla Harmonize alitokea kama Kumsuprise Alikiba mimi naona ni jambo zuri, lakini kwenye hii video naona Harmonize...
2 Reactions
46 Replies
5K Views
The WWE universe has been thrown into a state of mourning following the demise of one of her sterling superstar and former World Champion, Bray Wyatt who passed on in the late hours of Thursday...
1 Reactions
98 Replies
8K Views
Mtangazaji wa kituo cha redio cha Wasafi FM amshambulia mtangazaji wa kituo cha redio DW ya Ujerumani, kwamba huyo mtangazaji alikosea sana namna alivyoripoti tamasha la kizimkazi. Akizungumza...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Watanzania Tunakulilia Baba 😭 @haithamkim X @wyse_tz Official Video is out ‼️
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Pop Girls and their most streamed songs on Spotify
1 Reactions
1 Replies
683 Views
Wakuu humu ndani nakumbuka miaka ya tisini kuna Mwalimu wa kwaya ya SDA Kinondoni alifanya kwaya hii kuwa maarufu sana hivi sasa hivi yuko wapi?
2 Reactions
12 Replies
2K Views
1 kamwambia ukweli Young killer _ saivi yupo busy na mapenzi kuliko mziki (kuna time nilidhan Bongo hip hop ataiokoa) 2 Wakazi anaongea sana mitandaoni(apewe kaz wasafi media) 3 Nikki Mbishi...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
SISI MATAJIRI HATUJASIKIA KUHUSU BANDARI KUUZWA "CHIEF GODLOVE "Sisi Matajiri Hatujasikia kuhusu Bandari Kuuzwa lakini Kila siku tunasikia Maskini Ohhh Bandari Inauzwa Hivi Mpo serious kweli?'...
7 Reactions
98 Replies
10K Views
Hivi kama wakereketwa wa Bongo Flava tumeshindwa kabisa kuiweka bongo flava kwenye ramani ya mziki Africa? Maana hii movement ya Amapiano bongo imekuja kuimalizia kabisa bongo fleva na kuizika...
8 Reactions
49 Replies
6K Views
Kuna tuhuma zinaanza kuenea taratibu, Inasemekana logo ya Kampuni mpya ya Wasafi Bet imefanana sana na logo ya kampuni ya Wily Trchnology Pvt Ltd, inayoshughulika na masuala ya IT nchini...
7 Reactions
30 Replies
6K Views
Ni Tz pekee ambako kwa asilimia kubwa Msanii anaweza kufanya kazi zote za taaluma na zisizo za taaluma. Tanzania Msanii ni Msanii. Tanzania Msanii ni Mwanasiasa. Tanzania Msanii ni...
0 Reactions
6 Replies
869 Views
Picha hii inamuonesha Nash MC, mmoja kati ya wasanii wa Hip Hop Nchini Ni wazi muziki wa hip-hop wa bongo umepotea kabisa. Wasanii wa hip-hop hawafanyi vizuri sokoni yani kwa sasa bongo ukiimba...
12 Reactions
84 Replies
9K Views
Jamaa kaachia wimbo kimya kimya kwa kweli aina hii ya release za Diamond zinakuwaga kali tofauti akifanya promo kubwa.Nimependa sana lyrics yake, melody, Vocal na S2kizzy katengeneza beat nzuri...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Nilikuwa ninasikiliza mahojiano ya NW SUM, Hamis Mwinjuma na Wasafi. Kwenye mazungumzo yao, Baba levo amedai wanamuziki Rayvanny, Zuchu, Mboso na Lavalava hawana nyumba zao hadi sasa. Kwa kweli...
9 Reactions
107 Replies
9K Views
Sio maneno yangu Mwenyewe amesema kuwa ameokoka Kama NI kweli nimefurahi sana Ila kucha haachi JE mabwana?!
1 Reactions
45 Replies
3K Views
Back
Top Bottom