Kwa wapenzi wa Computer animated movies mtakuwa mnafahamu kua muvi za animation hasa za kati ya mwaka 2008-2023 zipo realistic sana hadi unashindwa kutofautisha kama hii ni animation au Muvi ya...
Si haba kuona wasanii wetu wakifikisha views million 2 kwa siku na zaidi kuingia number 1 trending the same day kuwashinda hata wanigeria kama kina Burnaboy wizkid Davido etc. Shida inakuja kwenye...
Kwanza ni mahusiano ambayo watu au mashabiki wengi hawajayakubali na hili litamfanya Dai ampende zaidi na kuwa prove wrong watu wanao yaponda mahusiano yao.
Lakini watu wanasahau kuwa mapenzi sio...
Habari wakuu!
Baada ya kila mtu kusikiliza kwa makini na kutazama video mpya ya msanii Diamond Platinumz Dangote " Baba Tee", Bila unafiki kabisa, haya yafuatayo ni mawazo ctrically juu ya...
Ni baada ya show huko Zanzibar Alikiba alipokua akifanyiwa mahojiano na Ayo tv
Gafla Harmonize alitokea kama Kumsuprise Alikiba mimi naona ni jambo zuri, lakini kwenye hii video naona Harmonize...
The WWE universe has been thrown into a state of mourning following the demise of one of her sterling superstar and former World Champion, Bray Wyatt who passed on in the late hours of Thursday...
Mtangazaji wa kituo cha redio cha Wasafi FM amshambulia mtangazaji wa kituo cha redio DW ya Ujerumani, kwamba huyo mtangazaji alikosea sana namna alivyoripoti tamasha la kizimkazi.
Akizungumza...
1 kamwambia ukweli Young killer _ saivi yupo busy na mapenzi kuliko mziki (kuna time nilidhan Bongo hip hop ataiokoa)
2 Wakazi anaongea sana mitandaoni(apewe kaz wasafi media)
3 Nikki Mbishi...
SISI MATAJIRI HATUJASIKIA KUHUSU BANDARI KUUZWA "CHIEF GODLOVE
"Sisi Matajiri Hatujasikia kuhusu Bandari Kuuzwa lakini Kila siku tunasikia Maskini Ohhh Bandari Inauzwa Hivi Mpo serious kweli?'...
Hivi kama wakereketwa wa Bongo Flava tumeshindwa kabisa kuiweka bongo flava kwenye ramani ya mziki Africa? Maana hii movement ya Amapiano bongo imekuja kuimalizia kabisa bongo fleva na kuizika...
Kuna tuhuma zinaanza kuenea taratibu, Inasemekana logo ya Kampuni mpya ya Wasafi Bet imefanana sana na logo ya kampuni ya Wily Trchnology Pvt Ltd, inayoshughulika na masuala ya IT nchini...
Ni Tz pekee ambako kwa asilimia kubwa Msanii anaweza kufanya kazi zote za taaluma na zisizo za taaluma.
Tanzania Msanii ni Msanii.
Tanzania Msanii ni Mwanasiasa.
Tanzania Msanii ni...
Picha hii inamuonesha Nash MC, mmoja kati ya wasanii wa Hip Hop Nchini
Ni wazi muziki wa hip-hop wa bongo umepotea kabisa. Wasanii wa hip-hop hawafanyi vizuri sokoni yani kwa sasa bongo ukiimba...
Jamaa kaachia wimbo kimya kimya kwa kweli aina hii ya release za Diamond zinakuwaga kali tofauti akifanya promo kubwa.Nimependa sana lyrics yake, melody, Vocal na S2kizzy katengeneza beat nzuri...
Nilikuwa ninasikiliza mahojiano ya NW SUM, Hamis Mwinjuma na Wasafi. Kwenye mazungumzo yao, Baba levo amedai wanamuziki Rayvanny, Zuchu, Mboso na Lavalava hawana nyumba zao hadi sasa.
Kwa kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.