sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,377
Baada ya watanzania kuonesha shauku ya kumuona bondia namba moja Africa, Hassan Mwankinyo akipanda ulingoni na local boxer Twaha Kiduku.
Mwakinyo ametoa bei yake ya kupanda ulingoni sh million 500 za kitanzania na hana maelekezo mapya.
Waliomfata kulialia kawarudisha na mil 200 zao.
Champez kaweka standard anayetaka kumuona kwenye ring na aweke hela.period
Mwakinyo ametoa bei yake ya kupanda ulingoni sh million 500 za kitanzania na hana maelekezo mapya.
Waliomfata kulialia kawarudisha na mil 200 zao.
Champez kaweka standard anayetaka kumuona kwenye ring na aweke hela.period