Wapi?Yupo kwao
DuhHeroes come and go
But legend are forever
Kabisa mkuu...mziki ni biashara,mbali na kipaji ujue
Anapiga sho machaka ya kenge mwaka juz nilikuwa job chaka moja la adabu nimetoka camp kwenda kweny ka senta uchwara uko bush ghafla nakuta yupo juu ya fuso wanatangaza atakuwa na show kweny baa sikucheka nilichukia kuona kipaji kama kile kinapotea kizembe nikajiuliza hivi hawa wasanii wa 2000 mpak 2010 walishindwa vip Ku maintain kweny game wakati wanavipaji vikubwa kushinda hawa wa siku hizi
Nenda Manzese mtaa wa buza kwa mtogole kata kulia halafu kushoto kwa mbele utaona nyumba inakuangalia. Ingia humo utapata taarifa zake zote.
Anapiga sho machaka ya kenge mwaka juz nilikuwa job chaka moja la adabu nimetoka camp kwenda kweny ka senta uchwara uko bush ghafla nakuta yupo juu ya fuso wanatangaza atakuwa na show kweny baa sikucheka nilichukia kuona kipaji kama kile kinapotea kizembe nikajiuliza hivi hawa wasanii wa 2000 mpak 2010 walishindwa vip Ku maintain kweny game wakati wanavipaji vikubwa kushinda hawa wa siku hizi
Habari nataka kujua huyu msanii SPARK yupo wapi? Je anaendelea na muziki au ameacha? Nakumbuka alitamba sana na Nyimbo yake ya USINIACHE
😂😂😂"Anapiga shoo machaka ya kenge" 😂😂 kweli wahuni wamemchoka dah
Nyimbo kali sanaaaHatokuja kutoa ngoma kali kama ile ya "ombi langu". Never 🙌🏽
Alilia sana hata akiimba nyimbo ya kuruka analia basi tukachoka tukampotezeaHabari nataka kujua huyu msanii SPARK yupo wapi? Je anaendelea na muziki au ameacha? Nakumbuka alitamba sana na Nyimbo yake ya USINIACHE
Yupo chimbo anatunga jimbo za kusifu na kuabudu za ccm kwenye kampeni.Me natamani kujua alipo bushoke