Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,908
- 6,494
Matonya amesema "inamuumiza sana na siwezi kuisema kiukubwa lakini naweza kusema hiyo picha mbaya ya ubakaji ndio inaniumiza zaidi kwa kweli walioamua kuiweka hivyo au kuipanga hivyo mpaka ikanikuta nipo kwenye gereza la Shimo La Tewa nimelaani vikali sana na Mwenyezi Mungu namuomba sana anilinde, kama ni maslai ya mtu ameyapanga mimi kwanza namuachia Mungu"
Lakini nashukuru sana kwa Dua na Maombi ndugu zangu
Soma Pia:
Lakini nashukuru sana kwa Dua na Maombi ndugu zangu
Soma Pia:
- Matonya aachiwa kwa Dhamana baada ya kukaa Gerezani siku 20 kwa tuhuma za ubakaji Mombasa
- Mwanamuziki Matonya ashtakiwa kwa ubakaji nchini Kenya