Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 30 DESEMBA 2005 . . . . Uchumi...
0 Reactions
60 Replies
9K Views
Wanazengo wanasema bibie ni mwalimu wa kuiba waume za watu , Na nasikia akimpata mume wako anamroga mpaka basi , yani bingwa wa kuiba waume za watu na ni mchawi kupitiliza. Umbea unaozagaa kwa...
14 Reactions
243 Replies
45K Views
Nampenda men mwenye umbo zuri kama jd/awe ananyuka pamba kama vile Stev B /sio maarufu sana kama hammy b / awe anajua mapenzi sana kama vile jafarai/ili nikiwa nae najua nitafurahi/ awe...
0 Reactions
8 Replies
802 Views
Aliudanganya ulimwengu kuwa Rais wa Marekani Trump kampongeza Magufuli. Hakika imekuwa ni kipindi kirefu sijamsikia huyu mwamba ambaye alikuwa NI mtangazaji wa kituo cha television hapa nchini...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Mchezaji wa soka wa Palestina, Mohammed Barakat, aliuawa Jumatatu wakati shambulio la angani la Israeli lilipogonga nyumbani kwake katika mji wa kusini mwa Gaza wa Khan Younis. Nyumba yake ya...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Mh. Jojo akihutubia kikaoni leo katika mkutano wa UWT. Ni kama ameanza kula chumvi sasa! Ujana kweli haudumu
21 Reactions
85 Replies
8K Views
Kwema wakuu, Kwa wale wapenzi wa burudani hasa music wa hapa home sweet home (bongo flavor) wa kizazi cha kati na cha sasa, utakubaliana na mimi kwamba katika collabo zilizowahi kutokea na...
7 Reactions
103 Replies
8K Views
Kama kuna watunzi wazuri ambao wamewaandikia wasanii wengi na nyimbo zikawa hit akiwemo Maua Sama, akina Nandy na wengine wengi tu ni Ibra Nation. Watu wengi wamemjua kwa wimbo wake wa Nilipize...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Former UFC Champion Mark Coleman ran into burning 🔥 house and served both his parents then went back in for their dog 🐶 but passed out in the fire. He is now in critical condition at the...
0 Reactions
0 Replies
544 Views
Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm. Alikiba ameeleza sababu za kuzindua Radio kuwa ni njia pekee iliyoinua...
43 Reactions
287 Replies
25K Views
Huu ni mtazamo wa nguli na gwiji wa entertainment industry hapa bongo Salama Jabir. Na mimi namuunga mkono toka day one uwa nasema hii kitu nikaishia kupewa majina mabaya na wenye wivu, chuki...
8 Reactions
125 Replies
10K Views
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Mwanga, maarufu Marioo, anayedaiwa zaidi ya Sh. milioni 500 kwa kuvunja mkataba, anatarajiwa kujitetea Mahakama Kuu Machi 18 na 19, mwaka huu. Marioo na...
6 Reactions
54 Replies
5K Views
Hello, Hi Ngoma Jay Moe kashirikishwa na Country Wizzy, Techniques kafanya balaa sana flows za hatari plus maandishi ya ki father sana hili ni bonge la ngoma..
2 Reactions
10 Replies
865 Views
Habari, Kila Mmoja Anaendelea Vyema Kabisa Na Majukumu Ya Kila Siku. Dizasta Vina Hadi Sasa Ndio Rapper Mkali Sana Katika Utunzi Na Uaandishi Wa Mashairi Hapa Tanzania. Sijaona Rapper Mkali Zaidi...
8 Reactions
47 Replies
3K Views
Mimi msanii wa kiume anayevaa hereni, aliyeweka kipini puani na mwenye tabia ambazo hakupaswa kuwa nazo mwanaume huyo siwezi kutazama video yake, siwezi hata kusikiliza nyimbo zake. Nahisi uchafu...
1 Reactions
10 Replies
728 Views
John Cena went live on stage at the Oscars naked. This is symbolism at it's peak, the emasculation of men. They take masculine figures in society and humiliate them, from wearing dress to walking...
4 Reactions
3 Replies
893 Views
Nasikia huyu jamaa kafungua baa mjini Dar, ambayo ina vinywaji vya hatari, anayeijua aniarifu inaitwaje na ipo mtaa gani
4 Reactions
86 Replies
6K Views
ILE mimba ya miezi mitano aliyokuwa nayo staa wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’ imechoropoka kufuatia kipigo alichopewa na mpenzi wake. Lulu Mathias Semagongo...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…