Collaboration kali zilizowahi kusumbua Bongo

Number ni 26

JF-Expert Member
Apr 3, 2019
1,478
2,836
Kwema wakuu,

Kwa wale wapenzi wa burudani hasa music wa hapa home sweet home (bongo flavor) wa kizazi cha kati na cha sasa, utakubaliana na mimi kwamba katika collabo zilizowahi kutokea na kusumbua bongo kila kona, katika nyingi zikitajwa basi hizi haziwezi kukosa kwenye list;

1. Dhahabu ya Dully ft Blue & Joslin

2. Nilikataa ya Top band ft Blue

3. Number One Remix ya Diamond ft Davido

4. Muziki Gani ya Ney ft Diamond

5. Kimya kimya ya Jay Moe ft Ngwea

6. Hawatuwezi ya N2N ft Enika

7. Nitoke Vipi ya Misosi ft Hardmad

9. Mchizi Wangu remix ya N2N ft All Stars

10. Namba 8 ya Daz Baba ft Fid Q

11. Starehe ya Ferooz ft Prof. Jay

12. Nikusaidiaje ya Jay ft Ferooz

13. Wife ya Daz Baba ft Ngwea

14. Latifa ya Mb Dogg ft Madee

15. Tabasamu ya Blue ft Q Chilla

16. Dar es Salaam Stand Up Chidi Benz ft Ditto

17. Maisha na Muziki ya Darasa ft Ben Pol

18. Inamana ya Mb Dogg ft Madee

19. Nipeni Dili ya Ngwea ft Dark Master

20. Tax Bubu ya Matonya ft Fid Q

Orodha ni ndefu, zingine utaongezea, Ila hizo ngoma zilisumbua sana wakati wake.

NB: Njiti moja ya kiberiti inaweza kuchoma msitu wa Amazon.

Naomba kuwasilisha. I'm out.
 
Kwema wakuu.

Kwenye mada. Kwa wale wapenzi wa burudani hasa music wa hapa home sweet home (bongo flavor) wa kizazi cha kati na cha sasa, utakubaliana na mimi kwamba katika collabo zilizowahi kutokea na kusumbua bongo kila kona, katika nyingi zikitajwa basi hizi haziwezi kukosa kwenye list :-

1. Dhahabu ya Dully ft Blue & joslin

2. Nilikataa ya Top band ft blue

3. Number one remix ya Diamond ft Davido

4. Muziki gani ya Ney ft Diamond

5. Kimya kimya ya jay moe ft Ngwea

6. Hawatuwezi ya N2N ft Enika

7. Nitoke vipi ya Misosi ft Hardmad

9. Mchizi wangu remix ya N2N ft all stars

10. Namba 8 ya Daz baba ft Fid q

11. Starehe ya Feroos ft prof jay

12. Nikusaidiaje ya jay ft feroos

13. Wife ya daz baba ft Ngwea

14. Latifa ya mb dogg ft madee

15. Tabasamu ya blue ft q chilla

16. Dar es salaam stand up chiz Benz ft Ditto

17. Maisha na muziki ya Darasa ft Ben Pol

18. Inamana ya mb dogg ft madee

19. Nipeni dili ya Ngwea ft Dark master

20. Tax bubu ya Matonya ft fid q




Orodha ni ndefu, zingine utaongezea. Ila hizo ngoma zilisumbua sana wakati wake.



NB: Njiti moja ya kiberiti inaweza kuchoma msitu wa Amazon.

Naomba kuwasilisha. I'm out
Ningeshtuka nisingeiona MCHIZI WANGU remix
 
Kwenye hiyo list kama hamna ganja language by harmonize hiyo list ya mchongo
 
Kwema wakuu.

Kwenye mada. Kwa wale wapenzi wa burudani hasa music wa hapa home sweet home (bongo flavor) wa kizazi cha kati na cha sasa, utakubaliana na mimi kwamba katika collabo zilizowahi kutokea na kusumbua bongo kila kona, katika nyingi zikitajwa basi hizi haziwezi kukosa kwenye list :-

1. Dhahabu ya Dully ft Blue & joslin

2. Nilikataa ya Top band ft blue

3. Number one remix ya Diamond ft Davido

4. Muziki gani ya Ney ft Diamond

5. Kimya kimya ya jay moe ft Ngwea

6. Hawatuwezi ya N2N ft Enika

7. Nitoke vipi ya Misosi ft Hardmad

9. Mchizi wangu remix ya N2N ft all stars

10. Namba 8 ya Daz baba ft Fid q

11. Starehe ya Feroos ft prof jay

12. Nikusaidiaje ya jay ft feroos

13. Wife ya daz baba ft Ngwea

14. Latifa ya mb dogg ft madee

15. Tabasamu ya blue ft q chilla

16. Dar es salaam stand up chiz Benz ft Ditto

17. Maisha na muziki ya Darasa ft Ben Pol

18. Inamana ya mb dogg ft madee

19. Nipeni dili ya Ngwea ft Dark master

20. Tax bubu ya Matonya ft fid q




Orodha ni ndefu, zingine utaongezea. Ila hizo ngoma zilisumbua sana wakati wake.



NB: Njiti moja ya kiberiti inaweza kuchoma msitu wa Amazon.

Naomba kuwasilisha. I'm out
21. Nipe ripoti - Spark & Tunda man

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Nadhani huelewi maana ya collaboration,kichwa cha habari unaongelea collabo alafu kwenye maelezo unatutajia featuring!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom