Masandawana
Member
- Jul 13, 2023
- 84
- 221
Mh. Jojo akihutubia kikaoni leo katika mkutano wa UWT. Ni kama ameanza kula chumvi sasa! Ujana kweli haudumu
Kwani yeye ni Nani asizeeke mkuu? JF siku hizi imekuwa Jukwaa na udaku badala ya HojaMh. Jojo akihutubia kikaoni leo katika mkutano wa UWT. Ni kama ameanza kula chumvi sasa! Ujana kweli haudumuView attachment 2927383
HakikaKwani yeye ni Nani asizeeke mkuu? JF siku hizi imekuwa Jukwaa na udaku badala ya Hoja
Yeah😘Majukumu makubwa yanauchosha mwili unazeeka kwa haraka. Fuatilia Marais wengi wakati wanaingia madarakani mionekano yao na baada ya mwaka mmoja na kuendelea.
Bado ni mrembo lakini.
kunyonyesha sio kazi ndogo ndugu 🐒Mh. Jojo akihutubia kikaoni leo katika mkutano wa UWT. Ni kama ameanza kula chumvi sasa! Ujana kweli haudumuView attachment 2927383
Kipindi tunasoma kuna jamaa yangu hakujua kama ni Jokate akaanza kumpigia misele, siku anajua alijiona falaMost beautiful shangazi in tz. Hands down.
yeye na Kairuki
tena na hiyo low cut, ni noma...
Sasa Hivi Yule Jamaa Aliyetimuliwa Na JiweBado anafaa kwa matumizi, tungoje azeeke tena
Haa HaaSasa zamu yetu wazee.....baada ya purukushani na vijana wenzie......
Unamaanisha mtoto? If yes, mbona tayariAjashusha kitu tu bado?
😁😃Kulala bila naniliu sio kazi ndogo ndugu zangu