Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

  • Poll Poll
Maalumu kwa fans wa Ucheshi. Picha zao hizi hapa
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Mnamkumbuka Best Nasso? Hakika huyu jamaa hauwezi msikia sana mijini lakini ingia bush huko na kokoroni kwa wavuvi jamaa ana hit sana. Natumaini mimi sie pekee yake ambae nimegundua hilo...
24 Reactions
58 Replies
5K Views
Jinamizi la watangazaji kuacha kazi bado linaendelea kuitafuna TBC, Mtangazaji mwengine mkongwe Miriam Migomba ametangaza kuondoka Shirika la Utangazaji Tanzania TBC baada ya kuhudumu kwa muda...
8 Reactions
84 Replies
9K Views
Rapa mkali na mwenye rekodi kedekede kwenye Muziki anaoufanya Drake, ameishtua Dunia baada ya video ya utupu inayodaiwa kuwa ni yake kusambaa kwenye mitandao mbalimbali ulimwenguni. Video hiyo...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Mtangazaji Zamaradi Mketema amechukizwa na tabia ya Watanzania kutokuwa wazalendo kwenye masuala ya kitaifa hususani kwenye mashindano yanayohusisha nchi na nchi. Kupitia ukurasa wake wa...
4 Reactions
69 Replies
4K Views
Staa wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya THE AFRICAN PRINCES Nandy, ameweka wazi kutafutwa na msanii wa RnB kutoka nchini Marekani Usher Raymond kwa ajili ya Remix ya wimbo wake wa Dah...
9 Reactions
30 Replies
3K Views
Mtangazaji wa kipindi cha "Papaso" Djaro Deus Arungu, ametangaza kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa kuanzia leo sio mfanyakazi wa TBC FM. ANGALIA VIDEO HAPA Djaro amefanya kazi TBC kwa muda...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Baada ya wimbo alioshirikiana na Nandy kushika namba moja Tanzania na kuendelea kumuacha nyuma Diamond kwenye baadhi ya nchi, Alikiba amerusha maneno yanayotafsirika kuwa ni kijembe kwa Diamond...
7 Reactions
51 Replies
5K Views
Picha hii imechorwa na msanii Leonardo da Vinci, hilo tu ndilo nijualo. Lakini nasikia kuna mengi nyuma ya hii picha, ujumbe uliofichika, umaarufu wake hadi leo ni nini haswa?? Ilikua ngumu sana...
20 Reactions
442 Replies
145K Views
Mkiambiwa jitahidini sana kuwa Wasiri kwa Mambo / Mipango yenu hasa ile ya Ndani kwani Waswahili tuna Kijicho ( Husuda ) hasa kwa Maendeleo / Mafanikio ya Wengine huwa hamtuelewi tu. Haiingii...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Kazi ya sanaa ni kufikisha ujumbe, kuburudisha, kuonya na kadhalika, lakini mi sielewi kuhusu hiki kipindi kipya kilichoanza juzi kuonyeshwa kwenye channel pendwa ya Maisha Magic Bongo DStv...
11 Reactions
33 Replies
2K Views
Baada ya kufunga Ndoa iliyohudhuriwa na Mastaa mbalimbali nchini, hatimae Manara ampeleka mkewe kwa familia yake (Ukaribisho). Kwenye ukaribisho huo Mke wa Manara amepokelewa na Mama Mkwe, Mawifi...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Hawa wadogozangu bwana mbona kama safari yao haiishi Wanaenda mbele kama wanarudi nyuma Huyu anaongea hiki mwingine kile na mdogomtu hiki cha! We Jux utamuoa huyo mdogoetu mtoto wa kipare...
8 Reactions
44 Replies
11K Views
Aise kwangu mimi PJ kutoka clouds FM na Gerald Hando kutoka Wasafi Media hawa watu huchoki kuwasikiliza wana madini, ● Wazuri katika uwasilishaji wa mambo magumu katika lugha rahisi ● Wachambuzi...
1 Reactions
10 Replies
913 Views
Msanii anaetamba na kibao cha "Mapozi" alicho washirikisha Jay Melody na Mr Blue msanii Diamond Platinumz, amewataka wapinzani wake waongeze juhudi maana hawamsumbui kabisa. Kupitia ukurasa wake...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
1: Adam Sandler 2: Jim Carrey 3: Will Ferrell 4: Nick Swardson 5: Katt Williams
7 Reactions
95 Replies
5K Views
Playboi Carti out in LA Last night for a studio session with Kanye West.
0 Reactions
4 Replies
703 Views
Haji Manara jana alikuwa na ugeni nyumbani kwake toka CloudsTv, na moja ya swali aliloulizwa ni kwanini bado anapanga na ilhali anaonekana ana uwezo mkubwa kifedha. Haji Manara alijibu, "Kwani...
6 Reactions
31 Replies
4K Views
PlayboiCarti appeared on Adin Ross stream last night for 10 minutes. They had a $2 million agreement that Carti would show up and talk about his new album. But because he didn't fulfill the...
1 Reactions
2 Replies
754 Views
Back
Top Bottom