Mnamkumbuka Best Nasso?
Hakika huyu jamaa hauwezi msikia sana mijini lakini ingia bush huko na kokoroni kwa wavuvi jamaa ana hit sana.
Natumaini mimi sie pekee yake ambae nimegundua hilo...
Jinamizi la watangazaji kuacha kazi bado linaendelea kuitafuna TBC, Mtangazaji mwengine mkongwe Miriam Migomba ametangaza kuondoka Shirika la Utangazaji Tanzania TBC baada ya kuhudumu kwa muda...
Rapa mkali na mwenye rekodi kedekede kwenye Muziki anaoufanya Drake, ameishtua Dunia baada ya video ya utupu inayodaiwa kuwa ni yake kusambaa kwenye mitandao mbalimbali ulimwenguni.
Video hiyo...
Mtangazaji Zamaradi Mketema amechukizwa na tabia ya Watanzania kutokuwa wazalendo kwenye masuala ya kitaifa hususani kwenye mashindano yanayohusisha nchi na nchi.
Kupitia ukurasa wake wa...
Staa wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya THE AFRICAN PRINCES Nandy, ameweka wazi kutafutwa na msanii wa RnB kutoka nchini Marekani Usher Raymond kwa ajili ya Remix ya wimbo wake wa Dah...
Mtangazaji wa kipindi cha "Papaso" Djaro Deus Arungu, ametangaza kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa kuanzia leo sio mfanyakazi wa TBC FM.
ANGALIA VIDEO HAPA
Djaro amefanya kazi TBC kwa muda...
Baada ya wimbo alioshirikiana na Nandy kushika namba moja Tanzania na kuendelea kumuacha nyuma Diamond kwenye baadhi ya nchi, Alikiba amerusha maneno yanayotafsirika kuwa ni kijembe kwa Diamond...
Picha hii imechorwa na msanii Leonardo da Vinci, hilo tu ndilo nijualo. Lakini nasikia kuna mengi nyuma ya hii picha, ujumbe uliofichika, umaarufu wake hadi leo ni nini haswa?? Ilikua ngumu sana...
Mkiambiwa jitahidini sana kuwa Wasiri kwa Mambo / Mipango yenu hasa ile ya Ndani kwani Waswahili tuna Kijicho ( Husuda ) hasa kwa Maendeleo / Mafanikio ya Wengine huwa hamtuelewi tu.
Haiingii...
Kazi ya sanaa ni kufikisha ujumbe, kuburudisha, kuonya na kadhalika, lakini mi sielewi kuhusu hiki kipindi kipya kilichoanza juzi kuonyeshwa kwenye channel pendwa ya Maisha Magic Bongo DStv...
Baada ya kufunga Ndoa iliyohudhuriwa na Mastaa mbalimbali nchini, hatimae Manara ampeleka mkewe kwa familia yake (Ukaribisho).
Kwenye ukaribisho huo Mke wa Manara amepokelewa na Mama Mkwe, Mawifi...
Hawa wadogozangu bwana mbona kama safari yao haiishi
Wanaenda mbele kama wanarudi nyuma
Huyu anaongea hiki mwingine kile na mdogomtu hiki cha!
We Jux utamuoa huyo mdogoetu mtoto wa kipare...
Aise kwangu mimi
PJ kutoka clouds FM na Gerald Hando kutoka Wasafi Media hawa watu huchoki kuwasikiliza wana madini,
● Wazuri katika uwasilishaji wa mambo magumu katika lugha rahisi
● Wachambuzi...
Msanii anaetamba na kibao cha "Mapozi" alicho washirikisha Jay Melody na Mr Blue msanii Diamond Platinumz, amewataka wapinzani wake waongeze juhudi maana hawamsumbui kabisa.
Kupitia ukurasa wake...
Haji Manara jana alikuwa na ugeni nyumbani kwake toka CloudsTv, na moja ya swali aliloulizwa ni kwanini bado anapanga na ilhali anaonekana ana uwezo mkubwa kifedha.
Haji Manara alijibu,
"Kwani...
PlayboiCarti appeared on Adin Ross stream last night for 10 minutes.
They had a $2 million agreement that Carti would show up and talk about his new album.
But because he didn't fulfill the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.