Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

LOS ANGELES - The Los Angeles home of Sean "Diddy" Combs was raided by Homeland Security Investigations Monday in connection with a federal sex trafficking case, authorities said. FOX 11 was first...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Watu wengi hawajui historia ya muziki wa bongofleva na hawajui umeanzia wapi. Fact ni kwamba muasisi wa muziki wa bongofleva ni Prince Dully Sykes aka Mr Misifa. Sound hii unayoiskia leo ya...
10 Reactions
85 Replies
6K Views
Ni miaka nane sasa imefika toka kuazishwa kwa tuzo hizi za heshima kwa kutambua mchango wa Malikia wa nguvu katika Jamii. Hongereni wote waliopata jana, walistahili. Kwa kuwa Clouds Media ni...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Dudubaya amezidi kumshukia Ruge mutahaba na kusema kuwa alikuwa akiwanyonya wasanii aliokuwa anasema anawainua Dudubaya ameendelea kusena kuwa Ruge ndio alisababisha Studio ya Bongo Records...
12 Reactions
242 Replies
39K Views
Guys mambo vipi. Poleni na majukumu ya hapa na pale. Nina swali dogo tu. Hivi kati ya Jay Z na Eminem nani zaidi kwenye Rap (HipHop kwa ujumla)?
3 Reactions
67 Replies
12K Views
Taasinia ya Sanaa ya michezo ya kuigiza hapa Tanzania inapitia changamoto nyingi sana zipo tunazoziona sisi mashabiki na pia zipo wanazokumbna nazo wasanii husika. Binafsi hiz ni baadhi ya...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Mwigizaji na mtayarishaji wa Movies kutokea nchini Marekani, Mzee Robert De Niro amepata mtoto wake mwengine akiwa na miaka 80. Robert De Niro akiwa na umri wa miaka 80 na mtoto wake wa miezi 10...
7 Reactions
30 Replies
2K Views
Msanii wa Vichekesho Nchini Tanzania 🇹🇿 Umar Lahbedi Issa, Maarufu Kwa Jina la Mzee wa Mjegeje, Amefariki Dunia Leo Alfajili Katika Hospitali ya Mwananyamala Alipokuwa Akipatiwa Matibabu. Taarifa...
14 Reactions
69 Replies
8K Views
Wakuu Salaam, Nisiwapotezee muda, miaka ya nyuma kulikuwa na shindano la wadada lililodhaminiwa na Twanga Pepeta na Manywele Entertainment. Sikumbuki lilifanyika mara ngapi lakini mwaka 2006...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
In the vibrant and ever-evolving Nigerian music industry, new talents constantly emerge, captivating audiences with their unique sounds and fresh perspectives. One such rising star is Ayra Starr...
3 Reactions
5 Replies
9K Views
Baada ya kustaafu kutoka kwa tasnia ya filamu za watu wazima mnamo 2015, Mia Khalifa aliingia kwenye uhusiano, akachumbiwa, akaolewa, akatalikiana, akawa mwanamke, mkufunzi wa masuala kazi...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Niwapeni siri kwamba ukiachana na pesa, wanawake wanashobokea sana vijana maarufu hasa kwenye mambo ya sanaa na michezo, sijui kwanini ila ndivyo wengi walivyo. Katika makundi haya kwa sasa kuna...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Fans and multiple conspiracy theorists are beginning to spread the idea that Takeoff was sacrificed and they are doing this using some facts from "Messy" music video by Quavo & Takeoff which was...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Msanii aliyetamba na ngoma ya Imekaa vibaya na Tumbo joto , Abdul Miraj maarufu kama Kali P amesema hataki tena kusikia masuala ya Muziki . Kali P amesema ameamua Kumrudia Muumba wake na sasa...
20 Reactions
68 Replies
5K Views
NI MTIKISIKO! Kiungo punda, kisiki wa Klabu ya Yanga Khalid Aucho ‘Daktari’ na Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’ kwa pamoja wako mapenzini na mwanadada mrembo wa kuitwa Caren Simba. Kiungo huyo...
50 Reactions
609 Replies
41K Views
Comeback aliyopiga huyu mwamba haijawahi kutokea kwenye historia ya filamu nchini India. Pathan & Jawan zimewaka all time records za mauzo Bollywood, na cha hatari zaidi kuna na filamu nyengine...
5 Reactions
36 Replies
4K Views
High school graduate, 17, climbing without ropes falls to his death in Colorado after posting a FINAL Instagram selfie A 17-year-old high school graduate died while out rock climbing in Colorado...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Watu wamekua wakijiuliza kweli kama Bilionea huyu alikua na jeneza ndani..kutoka Makao Makuu Ya Zimbabwe Jijini Harare Mwanamitandao ya kijamii na mfanyabiashara, Genius Ginimbi Kadungure ambaye...
22 Reactions
81 Replies
24K Views
Back
Top Bottom