2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,690
Mwaga datalaiti mngejua yaliyomsababishia kubadilika huko kote, mngemhurumia badala ya kumnanga
Tujuze mkuulaiti mngejua yaliyomsababishia kubadilika huko kote, mngemhurumia badala ya kumnanga
Un’yaLooks like Koredo Belo.
Kuhusu rangi alijitetea kwamba alipata ugonjwa wa vitiligo
Ukiachana na vitiligo vilivyommaliza ngozi yake mpaka akaamua bora ajiblich, maiko alipata ajali ya moto stejini kwenye tamasha la pepsi hii ilimpelekea kutokuota nywele na ndo chanzo cha kuvaa nywele bandia.Tujuze mkuu
Ukiachana na vitiligo vilivyommaliza ngozi yake mpaka akaamua bora ajiblich, maiko alipata ajali ya moto stejini kwenye tamasha la pepsi hii ilimpelekea kutokuota nywele na ndo chanzo cha kuvaa nywele bandia.Mwaga data
Kabla ya ajali ya moto alishafanya rhinoplastyUkiachana na vitiligo vilivyommaliza ngozi yake mpaka akaamua bora ajiblich, maiko alipata ajali ya moto stejini kwenye tamasha la pepsi hii ilimpelekea kutokuota nywele na ndo chanzo cha kuvaa nywele bandia.
pia alipata ajali iliyomsababishia kuvunjika mfupa wa pua walimwengu wakasema anachonga pua, simtetei ni uhalisia japo mzungu anapindisha na sisi tunafata anachosema mzungu kumchafua makusudi
Kabla ya ajali ya moto alishafanya rhinoplasty, inshort mj hakua comfortable na pua yake sema rangi ya mwili ni ugonjwa viltigo.Ukiachana na vitiligo vilivyommaliza ngozi yake mpaka akaamua bora ajiblich, maiko alipata ajali ya moto stejini kwenye tamasha la pepsi hii ilimpelekea kutokuota nywele na ndo chanzo cha kuvaa nywele bandia.
pia alipata ajali iliyomsababishia kuvunjika mfupa wa pua walimwengu wakasema anachonga pua, simtetei ni uhalisia japo mzungu anapindisha na sisi tunafata anachosema mzungu kumchafua makusudi
Sikuwahi kuyasikia hayaUkiachana na vitiligo vilivyommaliza ngozi yake mpaka akaamua bora ajiblich, maiko alipata ajali ya moto stejini kwenye tamasha la pepsi hii ilimpelekea kutokuota nywele na ndo chanzo cha kuvaa nywele bandia.
pia alipata ajali iliyomsababishia kuvunjika mfupa wa pua walimwengu wakasema anachonga pua, simtetei ni uhalisia japo mzungu anapindisha na sisi tunafata anachosema mzungu kumchafua makusudi