Michael Jackson before he chose to bleach and change his nose in order to look like a poor white woman

2 of Amerikaz most wanted

JF-Expert Member
Jan 13, 2023
1,328
3,690
FB_IMG_17106252823901420.jpg

FB_IMG_17106257371159575.jpg
 
Tujuze mkuu
Ukiachana na vitiligo vilivyommaliza ngozi yake mpaka akaamua bora ajiblich, maiko alipata ajali ya moto stejini kwenye tamasha la pepsi hii ilimpelekea kutokuota nywele na ndo chanzo cha kuvaa nywele bandia.
pia alipata ajali iliyomsababishia kuvunjika mfupa wa pua walimwengu wakasema anachonga pua, simtetei ni uhalisia japo mzungu anapindisha na sisi tunafata anachosema mzungu kumchafua makusudi
 
Mwaga data
Ukiachana na vitiligo vilivyommaliza ngozi yake mpaka akaamua bora ajiblich, maiko alipata ajali ya moto stejini kwenye tamasha la pepsi hii ilimpelekea kutokuota nywele na ndo chanzo cha kuvaa nywele bandia.
pia alipata ajali iliyomsababishia kuvunjika mfupa wa pua walimwengu wakasema anachonga pua, simtetei ni uhalisia japo mzungu anapindisha na sisi tunafata anachosema mzungu kumchafua makusudi
 
Ukiachana na vitiligo vilivyommaliza ngozi yake mpaka akaamua bora ajiblich, maiko alipata ajali ya moto stejini kwenye tamasha la pepsi hii ilimpelekea kutokuota nywele na ndo chanzo cha kuvaa nywele bandia.
pia alipata ajali iliyomsababishia kuvunjika mfupa wa pua walimwengu wakasema anachonga pua, simtetei ni uhalisia japo mzungu anapindisha na sisi tunafata anachosema mzungu kumchafua makusudi
Kabla ya ajali ya moto alishafanya rhinoplasty
 
Ukiachana na vitiligo vilivyommaliza ngozi yake mpaka akaamua bora ajiblich, maiko alipata ajali ya moto stejini kwenye tamasha la pepsi hii ilimpelekea kutokuota nywele na ndo chanzo cha kuvaa nywele bandia.
pia alipata ajali iliyomsababishia kuvunjika mfupa wa pua walimwengu wakasema anachonga pua, simtetei ni uhalisia japo mzungu anapindisha na sisi tunafata anachosema mzungu kumchafua makusudi
Kabla ya ajali ya moto alishafanya rhinoplasty, inshort mj hakua comfortable na pua yake sema rangi ya mwili ni ugonjwa viltigo.
 
Ukiachana na vitiligo vilivyommaliza ngozi yake mpaka akaamua bora ajiblich, maiko alipata ajali ya moto stejini kwenye tamasha la pepsi hii ilimpelekea kutokuota nywele na ndo chanzo cha kuvaa nywele bandia.
pia alipata ajali iliyomsababishia kuvunjika mfupa wa pua walimwengu wakasema anachonga pua, simtetei ni uhalisia japo mzungu anapindisha na sisi tunafata anachosema mzungu kumchafua makusudi
Sikuwahi kuyasikia haya
 
Back
Top Bottom