Nomah sana!Ila alikiba ni kauzu, mjeuri na mjivuni sana ndo maana hata huko insta amekataa ku m follow mtu yoyote, hata wasanii wakubwa kwake!!!
Hio picha ya pili jamaa alimkataa harmonize vibaya sana
AahaaaIla alikiba ni kauzu, mjeuri na mjivuni sana ndo maana hata huko insta amekataa ku m follow mtu yoyote, hata wasanii wakubwa kwake!!!
Hio picha ya pili jamaa alimkataa harmonize vibaya sana
Kwani kila siku watu hula wapi?Rais anafuturisha watu wenye pesa kama hawa; inabidi na wao wakafuturishe huo mitaani kwako kwa kiasi hicho hicho kila mmoja.
Harmo ni mnafiki sikiliza nyimbo zake ndio utajua kinyongo chake.Konde boy ana roho ya kitajiri. Matajiri hawanaga vinyongo, ila maskini sasa wana roho mbaya sana ndio maana uchawi upo kwenye umaskini.
Uchawa hadi unakufuruKwa diamond kila goti litapigwa yeye sio wa kwanza na hatokuwa wa mwisho kuomba radhi kwa Simba