Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mcheza Sinema maarufu nchini marekani Bw. Patrick Swayze amefariki dunia muda si mrefu. Kwa kumbukumbu za haraka huyu jamaa alikuwa anasumbuliwa na Pancreatic Cancer lakini mpaka sasa bado...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
vingaravyo si dhahabu shaba pia hukhilibu. The singer is called back up on stage during Beyonce's acceptance speech for Best Video The Single Ladies (Put A Ring On It) singer hugs Taylor...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Lady GaGa recently came out the closet and confirmed she is a hermaphrodite. Lady GaGa allegedly said this about the subject: It’s not something that I’m ashamed of, just isn’t something that I...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Closed
Haya wale waliosema BBA HAKUNA MADEMU tz IMEMPATA Wema sepetu ndie mwakilishi wake katika BBA mwaka huu,haya kazi kwenu,wametupatia balozi tayari!!humo ndani mmhh!!tumpigie kura za ndio!!
0 Reactions
84 Replies
31K Views
Nilikuwa nangalia kipindi cha Mch.Isaack Ndodi wa Haleluya Sanitarian Clinic kinachorushwa na kituo cha televisheni ya Star jumanne 08/09/09. Katika mafundisho yake kuhusu madhara ya ulaji mbovu...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
  • Closed
Ukimtazama Reginald Mengi jinsi alivyoingia kwenye hiyo vita ya ufisadi,mimi huwa kila siku najiuliza kama Mengi yupo okay kimawazo (peace of mind), sio kwa sababu anchikifanya hakina maana, bali...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
huyu jamaa ni muda mrefu sana sijamsikia jamani...any data????
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
Hivi mzee Mengi ameshindwa kabisa kujali barabara inayokwenda kwenye ofisi kuu za media stream yake? Yaani unakwenda kutembelea kwenye zile ofisi unakumbana na vumbi tu barabarani. Hiyo parking ya...
0 Reactions
70 Replies
10K Views
By Daily Mail Reporter Pop star Mariah Carey and Nick Cannon celebrated their first year of marriage with a party at Palms Casino Resort in Las Vegas last night. It proved an emotional evening...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
What do you think was going through his mind at this decoration: Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Tanzania Jenerali Davis Mwamunyange akivikwa medali ya kishujaa mnamo mwezi March katika...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii nimeikuta The EastAfrican la wiki hii, naona matunda ya diplomasia; watani wa jadi siku hizi wanatuandika vizuri. Have you seen the president’s new suit? By John Kariuki Posted Monday...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Wekezeni, acheni kiburi cha umaarufu na fedha Kwenu wadogo zangu. Masanja, Joti, Mpoki, Wakuvwanga, McRegan, Seki na Vengu. Nianze kwa kuwakumbusha msemo wa Kiingereza usemao “You can not be a...
0 Reactions
117 Replies
73K Views
Napata taabu kupata tafsiri sahihi ya celebrity!!! Hawa vijana wanalazimisha jamii iwape heshima kwa kuwa kumbe wao wanadhani ni celebrities! Wakiwa sehemu ambazo kuna watu wengi sana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tesmerelna Atsbeha and Andrew Mambo August 23, 2009 Tesmerelna Sunkel Atsbeha and Andrew Philip Mambo are to be married Sunday at Parsons Garden Park in Seattle. The Rev. Sharon Ramey, a...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Written by KJ Mullins Chris Brown has been sentenced to five years of formal felony probation and six months of community service for the assault on then girlfriend, Rihanna in February. The...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Late Omar Bongo-Former Gabonese pres. 30 Children Jacob Zuma incumbent RSA President- 19 known children Lamine Diack IAAF President 15 known Denis Sassou Nguesso of Congo-Brazzaville has 7 Mobutu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sultan wa Brunei alitumia zaidi ya Tsh. Milioni 30 kwaajili ya kukata nywele zake Monday, August 24, 2009 8:14 AM Wakati wengine wakihaha usiku na mchana kutafuta pesa za kununulia hata unga wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Niko mbele ya luninga naangalia mashindano ya Miss Universe. Nimeona kuwa Tanzania imewakikilishwa na binti mmoja anaitwa Iluminata lakini hakifika popote. Kwa nini? Anaonekana kuwa na sura nzuri...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
NYOTA wa mchezo wa kikapu wa Tanzania, anayecheza katika ligi ya NBA ya Marekani Hasheem Thabeet amesema viongozi wa mchezo huo nchini wasimtumie kama ngazi kwani mafanikio aliyoyapata ni juhudi...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
WADAU HABARI ZA HIVI PUNDE ZINAPATIKANA HAPA, BONYEZA... DR. IDRIS RASHID KUMBE NAYE WAMO KWENYE UFISADI?? BWANA MKUBWA ANAIUA TANESCO, UFISADI HUU UTAISHA LINI...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…