Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

bado mwenzie Tibaijuka mana haikatazwi kuweka Afro lakini bibie lle afro lake lilikuwa linakuwa out of control halafu naona ana shine kweli kweli hapa: BTW hii ilikuwa juzi kwenye hafla ya...
0 Reactions
37 Replies
8K Views
hivi jamani kuna yeyote mwenye tetesi au fununu ya ukweli kuhusu kesi ya Juma Nature? atusaidie kidogo?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo nimejitutumua wenyewe ninunulie ndugu na jamaa nguo za christmas, nakuta site haipo online, nimetuma email naona kimya, vp tena kipanya?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Msanii wa muziki wa kizazi kipya "Sir" Juma Nature anakabiliwa na tuhuma za "kubaka" baada ya kukaa kwa siku kadhaa na binti wa chini ya amiaka 18.Endapo mashtaka yatasimama akaonekana na hatia...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
someone with Katt Williams' clips please send me a link
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Imetolewa mara ya mwisho: 19.11.2008 0116 EAT • Ngozoma Matunda afariki dunia Na Elizabeth Mayemba Majira MAKAMU Mwenyekiti wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Rashid Ngozoma...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
mabo haya yameanza lini? watoto wa kiume kuimba huku wakiwa uchi mbele ya kadamsi? Huu ndio ushaga wenyewe na huyu jamaa naitwa AFANDE SELE I have never been a fan of Bongo fleva and never...
0 Reactions
34 Replies
17K Views
Baniani yuko jela na sanamu wake wa kuabudu, kila siku anaiabudu na kuiomba atoke jela, kwenye chumba kuna muislaam. Muislaam nae kila siku anasali na kumuomba Allah atoke jela, Muislaam...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zaidi! Nahodha, Shamuhuna kuhitimu OUT Theopista Nsanzugwanko Daily News; Saturday,October 25, 2008 @00:03 Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
  • Closed
MTANZANIA ANAYEISHI MAREKANI BWANA JOHN MASHAKA AMEKUWA KWENYE VYOMBO VYA HABARI HASA BLOGS MBALIMBALI KUWA NI MTU ATAYEWEZA KUISAIDIA NCHI YETU KWA KIASI KIKUBWA AKIWA MBUNGE 2010. IKIWA...
0 Reactions
257 Replies
33K Views
THE GUY IS SO MODEST In his faded coat, tinted prescription glasses and scuffed shoes, he looks like just another pensioner scraping by on a tight budget. But the man pictured here is...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Sarah Palin spent "tens of thousands" more than the quoted $150,000 on clothes for the Republican campaign, met McCain aides in her hotel room dressed in nothing but a towel, and did not know...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Mkwasi Aliko Dangote wa Nigeria anashikilia usukani na $3.3 billion simple man no bling bling Namba 2 Oprah $2.7 billion Patrice Motsepe South african $2.4 billion Mobutu, the...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Salam walek wanaJF Jamani kwa mtu yeyote anayejua Academic perfomance kuanzia 'O' - level hadi elimu ya juu ya hawa vigogo naomba anipatie JK EL RA Shein Karume Sitta & Pinda
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TORONTO, Canada KATIKA vituko vya mwisho mwisho kwenye kampeni za urais nchini Marekani, mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti kwa tiketi ya Republican, Sarah Palin Jumamosi alijikuta akipokea...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nauliza hivi,ni sawa kikatiba kwa naibu waziri kutanguliwa na ving'ora na pikipiki na watu kutakiwa kupisha barabara ili apite? Jana ijumaa 31.10.08 saa 9 mchana barabara ya morogoro karibu na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Diouf wa Twanga kortini kwa unyang'anyi Rehema Maigala MWANAMUZIKI wa bendi ya Afican Stars (Twanga Pepeta), Msafiri Saidi Diouf (30), mkazi wa Gongo la Mboto amefikishwa katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mkuchika aisubiri Polisi suala la Mtikila Mwandishi Wetu Daily News; Tuesday,October 28, 2008 @00:02 ZA chichiemu hazikumtosha Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, George Mkuchika, amesema...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Maimartha na Bwana Wake Puff Daddy ni matepeli wakubwa. nyepesi nyepesi zilizonifikia ni kwamba Bwana yake Maimartha alikopa pesa kwa shangazi yake (10,000,000) ili kuendesha Tamasha la Kimwana wa...
0 Reactions
62 Replies
14K Views
Beyonce would like to be known as "Sasha Fierce" 10/23/2008 1:00 PM, Reuters Just like the "Seinfeld" episode where George wanted everyone to call him "T-Bone," Beyonce Knowles would like...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom