Kila ukiongea na watu wa nyumbani utasikia hakuna umeme, Ngereja kawatembelea:
Umeme unapanda bei January huu, watu wamekaa mkao wa kula!
Wenye vituo vya mafuta wamegoma! Mafuta bei juu, dala dala...
Ilikuwa siku ya kupendeza kabisa kwa ndugu Mwisho Mwampamba na Mwanadada Merly kutoka Namibia kufunga pingu za maisha nikimaanisha ndoa na kuitwa mume na mke. Ndoa hii ilifungwa tarehe 10 mwezi...
mapozi yake yanatatanisha sana. Anaweka sana mikogo akiwa kwenye kipindi kiasi kwamba inaleta utata wakati mwingine, hivi swaga maana yake ni kubana pua ukiongea? kujirembulisha? kuweka mikogo?
Jamani hivi kale kadada kaliowatia aibu dada zetu wa kibongo kwa kutingisha viguu badala ya mauno kule Big brother kako wapi siku hizi?? Naona kametemwa EATV lakini si vibaya tukijua kalipo...
Nimekua nikipenda nyimbo za huyu jamaa, ila kwenye hii interview naona kateleza.. Ofcourse kuna mambo kadhaa ya mhimu kayasema, kama kuhusu watu kutumia English kwenye movies halafu hata...
Burj al Arab nijuavyo mimi per night ni dola elfu 10
mshahara wake ni dola sijui kiasi gani lakini itakuwa zaidi ya hiyo
safi sana mama huu ndio wakati wako kula nchi na kilichobaki tafuta...
Mwenzenu leo kidogo nitolewe nishai!
Kumbe Movenpick sasa ni Serena?
Meet me at the SERENA...........( since when did we have a SERENA IN DSM?)...NDIVYO ILIVYOKUWA.
Mtangazage basi kama...
Jamaa keshavalisha pete jana mbele ya maza ake!! Kadai sepetu ana heshima sana mbele yake.
It was suprising kwa Wema Sepetu, she ddnt expect such beautiful event. It was a Diamon Bday by the way...
Habari JF,
Leo nilikua naangalia CLOUDS TV-Take One::Zamaradi alikua anawahoji Wema na Irene Uwoya na wote wamefunguka
1.Wema Kamchana Jokate kwamba amempora mchumba wake(Diamond) na pili...
http://www.ecocta.com
The spirit of the festivities is in the air. Often times, the urge to get away and rejuvenate ones life is overwhelming. Many people imagine that they cant afford to get...
Mkurugenzi mtendaji wa Clouds Media bwana Joseph Kusaga kasema yeye ndo kawezesha vijana wengi wawe hapo walipo, so kashauli tuache malumbano tuchape kazi. amesema hayo katika pongezi za miaka 50...
http://www.ecocta.com
The spirit of the festivities is in the air. Often times, the urge to get away and rejuvenate ones life is overwhelming. Many people imagine that they cant afford to get...
The social public, na hasa watoto watakuja kumumiss sana huyu mama akishamaliza u-first lady, unless aendelee hivyo hivyo hata baada ya kuwa ameondoka Ikulu. See the evidence for yourself here...
Ilikuwa ni kunako asubuhi tulivu kijua cha mawio kinachomoza na mto ukiwa tulivu na upepo tulivu ukipepea ghafla bin vuu mto ukaanza kuchafuka kilichofanya mto kuchafuka ni ugomvi wa mamba wawili...