Bhoke wa Big Brother!

SirBonge

JF-Expert Member
Jul 18, 2010
378
435
Jamani hivi kale kadada kaliowatia aibu dada zetu wa kibongo kwa kutingisha viguu badala ya mauno kule Big brother kako wapi siku hizi?? Naona kametemwa EATV lakini si vibaya tukijua kalipo kanaweza pata ajira mbadala kwani tushajua fani yake anayoiweza zaidi:poa
 
Jamani hivi kale kadada kaliowatia aibu dada zetu wa kibongo kwa kutingisha viguu badala ya mauno kule Big brother kako wapi siku hizi?? Naona kametemwa EATV lakini si vibaya tukijua kalipo kanaweza pata ajira mbadala kwani tushajua fani yake anayoiweza zaidi:poa

acha ku assume kijana..we umeona wappi kua katemwa?? Bhoke yupo EATV na last month alikua ana host kipindi Nairobi..umbea tupunguze jaman..aliekwambia EATV wamemtema nani??
 
hivi huyu naye ni wa kupoteza muda kumjadili?hivi jamani mbona tuna mambo mengi ya muhimu kujadili?huyu kwanza si alisema hakwenda kuiwakilisha nchi alienda kwa mambo yake tu ya kupigwa brash au...
 
acha ku assume kijana..we umeona wappi kua katemwa?? Bhoke yupo EATV na last month alikua ana host kipindi Nairobi..umbea tupunguze jaman..aliekwambia EATV wamemtema nani??

Haya haya JF is never boring!!!
Jamaa alikuwa anachimba ki aina!
Ngoja wadau watupe data za ki-kuda!
 
hivi huyu naye ni wa kupoteza muda kumjadili?hivi jamani mbona tuna mambo mengi ya muhimu kujadili?huyu kwanza si alisema hakwenda kuiwakilisha nchi alienda kwa mambo yake tu ya kupigwa brash au...

That was a self defence statement. I do not remember if there was nomation for individuals......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom