Kaka kweli mapenzi ni ukipofu!, hivi unaenda kavukavu, waziwazi, au pipi na karatsi?
ila walau kinachojulikana kuliko kisichojulikana, ila mziki utakua mzito mtu wangu. mtachangia, naomba kadi au m pesa akaunti yako.Harusi ni lini kaka yangu? W e no=i miongoni mwa wajasiri wachache. Big up man
Jamaa naona kaamua kuweka mzoga ndani
View attachment 38266 View attachment 38267 View attachment 38268 View attachment 38269 View attachment 38270
naona dogo kaamua kuingia mzima mzima.....
hapo kazi iiipo kule chini kungekua kunabaki pango huyu dada sijui ingekuaje?
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us