Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,434
- 1,765
Yaani huyu mwanaume mimi hata simuelewi kabisa. Sijui kaishiwa nguvu, manake lile tangazo lake la Star Times limemfanya aonekane kama punga fulani hivi. Hivi mashosti huyu ni mwanaume kweli?
naona wema aje kujibu hapa kama yuko jf mana alimpitiaYaani huyu mwanaume mimi hata simuelewi kabisa. Sijui kaishiwa nguvu, manake lile tangazo lake la Star Times limemfanya aonekane kama punga fulani hivi. Hivi mashosti huyu ni mwanaume kweli?
Mbona kuna jamaa anaitwa jk na yeye anacheka cheka kila wakati.
wataalamu wanasema kucheka kunakusaidia kutoa stress,
Yaani huyu mwanaume mimi hata simuelewi kabisa. Sijui kaishiwa nguvu, manake lile tangazo lake la Star Times limemfanya aonekane kama punga fulani hivi. Hivi mashosti huyu ni mwanaume kweli?
Sasa unatuuliza sisi, nenda kajaribu ili ujue kama ni mwanaume kweli...
Yaani huyu mwanaume mimi hata simuelewi kabisa. Sijui kaishiwa nguvu, manake lile tangazo lake la Star Times limemfanya aonekane kama punga fulani hivi. Hivi mashosti huyu ni mwanaume kweli?
Kamfuramie uone!
yaani huyu mwanaume mimi hata simuelewi kabisa. Sijui kaishiwa nguvu, manake lile tangazo lake la star times limemfanya aonekane kama punga fulani hivi. Hivi mashosti huyu ni mwanaume kweli?
Yaani huyu mwanaume mimi hata simuelewi kabisa. Sijui kaishiwa nguvu, manake lile tangazo lake la Star Times limemfanya aonekane kama punga fulani hivi. Hivi mashosti huyu ni mwanaume kweli?