Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,353
- 1,935
Hatimaye moja ya wabunge wetu wa Singida na ambaye amekuwa akilalamikiwa sana kwa kuendekeza ubachela na usela, ameoa. Kama ilivyotarajiwa, amemuoa Miss Tanzania Faraja Kota. Kwa muda mrefu sasa mheshemiwa huyu amekuwa akiwanyatia sana hawa mamiss. Naambiwa jana kulikuwa na nderemo na vifijo vya kukata na shoka. Harusi ilifana sana na kila mkubwa wa bunge letu alikuwepo kuanzia na Six mwenyewe. Harusi ilipambwa na ngoma maridadi za kinyaturu.
Kudos Mheshimiwa Nyalandu. Utulie sasa.
Kudos Mheshimiwa Nyalandu. Utulie sasa.