Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Habari wapenzi wa muziki mzuri Aisee anaitwa Chris Brown ni msanii namkubali sana tena. Jamaa alizaliwa katika mji unaitwa Virginia miaka ya 80 mwishoni.Alianza carrier ya muziki tangu akiwa junk...
8 Reactions
41 Replies
7K Views
Kwa wale ndugu zangu wale tuliokuwepo enzi za ujana wetu....club hizi zilivyokuwa zinavumaaa 1.fm club...pale kinondoni..... 2.club billicass....enzi zile germssion party every sunday...saa nane...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Hakika hii ni habari mbaya kwa nchi yetu maana yule celebrity class A ambaye ni role model wa watoto wa kike hapa Bongo ameamua kuchukua uraia wa south africa Ama kwa hakika this is very sad...
1 Reactions
82 Replies
18K Views
Asma majid kwa sasa ndio mrembo namba moja Tanzania, na africa kiujumla. Pamoja na kuwa na elimu ya masters in economics, ambayo aliipatia pale oxford uingereza, havijamzuia kufanya tasnia yake...
9 Reactions
63 Replies
2K Views
Kwa kipindi cha miaka ya 90’s mpaka 20’s ilikuwa ili msanii uweze kutoboa lazima ujiunge kwenye kundi lolote la muziki na ndio maana kwa kipindi hicho idadi ya makundi ilikuwa kubwa na yalidumu...
33 Reactions
289 Replies
30K Views
Luda out here spitting bars. Just in case some of y’all forgot. ATL type of shit. https://youtu.be/uQ5q28o0rVM?is=rkjZJ3YiB7VoBOZ-
3 Reactions
8 Replies
149 Views
Freestyle na muziki ni vitu viwili tofauti katika Hip Hop, wanaoweza vyote ni wachache, Freestyler hapimwi kwa hits za studio, anapimwa kwa uwezo wa kutema mistari papo kwa papo bila kuandika...
10 Reactions
53 Replies
3K Views
Luda out here spitting bars. Just in case some of y’all forgot. ATL type of shit. https://youtu.be/uQ5q28o0rVM?is=rkjZJ3YiB7VoBOZ-
1 Reactions
4 Replies
101 Views
Bongo sijaona mwana Hip hop ambaye anaweza kuflow kama Jose Mtambo. Sijaona. Kama yupo mtaje wa kumshinda Jose Mtambo kwenye flow[emoji91][emoji91][emoji119] #forgive me
7 Reactions
42 Replies
4K Views
Shabiki wake nimem miss sana. Nimekumbuka wimbo wake wa darasa huru Wasanii wa zamani walikuwa na ngoma kali sana ila pesa wengi hawakupata. Walipata ma promota tu
0 Reactions
25 Replies
6K Views
https://youtu.be/Ex94EQQL8Ro?si=vNFvoKjRVolsifCm Nina Masikitiko makubwa ya kumpoteza msaani wangu mkali Jose Mtambo kwa sababu ya pombe na madawa. Huyu ni msaani wangu wa pili baada ya kumpoteza...
15 Reactions
127 Replies
6K Views
Msanii wa muziki na 'dancer' nchini, Chino Kidd, amefunguka kuhusu kisa cha kusikitisha kilichomnusuru kifo baada ya kukamatwa akiiiba, tukio ambalo lilienda sambamba na msiba mzito wa mdogo wake...
1 Reactions
3 Replies
349 Views
Kuna hii kama resort nzuri sana inaitwa Oviedo. Nimeona kuna landscaping ya maana, boti, sijui farasi nk. Iko wapi hii? Nimeona mmiliki wake, Dr Ibrahim Chenza(Phd)ana mishe gani? Nataka kujifunza.
3 Reactions
13 Replies
489 Views
Mtoto Wa El chapo Ovidio Guzman Lopez amekiri kosa baada ya kukutwa na hatia kesi ya kuendesha magenge ya madawa ya kulevya nchini marekani. Ameweka wazi na kukubali kushirikiana na serikali ya...
7 Reactions
50 Replies
2K Views
  • Featured
Sean Combs maarufu kama Diddy anatarajiwa kuachiliwa kutoka gereza la shirikisho la Marekani mapema zaidi baada ya tarehe yake ya kuachiwa kurekebishwa tena, kulingana na taarifa mpya...
5 Reactions
37 Replies
948 Views
Irene Uwoya anasema hatamani kabisa mtoto wake Krish kulala hata kwa ndugu yake kwasababu Dunia imearibika kwasasa. "Nikweli Kwenye Malezi ya watoto kuna muda tunakosea ila mimi siwezi kupenda...
11 Reactions
62 Replies
1K Views
Picha ya Gigy Money na Mtangazaji Gadner G Habash Yazua Utata.... Mrembo Gigy Money Anaesifika kwa Bongeo la t***o Bongo ameweka picha kwenye page yake ya Instagram na kuandika maneno haya...
6 Reactions
188 Replies
53K Views
Donald Trump amefikisha miaka 80. Alizaliwa June 14, 1946.
7 Reactions
7 Replies
199 Views
Hatimaye mkali katika tasnia ya sanaa nchini Wema Isaac Sepetu leo usiku amevishwa pete na jamaa kutoka machozi band anayekwenda kwa jina la Mwinyi na kudhihirisha ukisema chanini wenzako wanasema...
3 Reactions
76 Replies
13K Views
  • Featured
Wakati wa maonesho ya FIFA Countdown Concert yaliyofanyika jijini Los Angeles, msanii maarufu wa Nigeria Davido alivutia hisia za wengi baada ya kuvaa koti maalum lenye ujumbe "Bring Them Home" na...
17 Reactions
45 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…