The Don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,499
- 1,163
Hatimaye mkali katika tasnia ya sanaa nchini Wema Isaac Sepetu leo usiku amevishwa pete na jamaa kutoka machozi band anayekwenda kwa jina la Mwinyi na kudhihirisha ukisema chanini wenzako wanasema watakipata lini na kuonyesha nyota yake bado inang'ara japo amepitia misukosuko mingi,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa new maisha club ambapo imehudhuriwa na mastar wengine kama jb,sharomillionea,sam,gadna g habash,mateja na wengine wengi.
Wakati huo huo aliyekuwa mchumba wake waliyemwagana diamond yupo ktk hali ya sintojua baada ya mpenzi wake mpya kudaiwa kurudiwa na aliyekuwa mchumba ake Hasheem Thabit.
Kila la heri dada ktk safari yako mpya na pole kwa kijana diamond.
Source: dj choka blog na mimi mwenyewe
Wakati huo huo aliyekuwa mchumba wake waliyemwagana diamond yupo ktk hali ya sintojua baada ya mpenzi wake mpya kudaiwa kurudiwa na aliyekuwa mchumba ake Hasheem Thabit.
Kila la heri dada ktk safari yako mpya na pole kwa kijana diamond.
Source: dj choka blog na mimi mwenyewe