Irene Uwoya: Sitaki Mwanangu Alale kwa Ndugu!

Irene Uwoya: Sitaki Mwanangu Alale kwa Ndugu!

bless on

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2026
Posts
770
Reaction score
1,790
Irene Uwoya anasema hatamani kabisa mtoto wake Krish kulala hata kwa ndugu yake kwasababu Dunia imearibika kwasasa.

"Nikweli Kwenye Malezi ya watoto kuna muda tunakosea ila mimi siwezi kupenda mwanangu aaribike hapana, Hakuna mama yeyote alieingia leba akafungua anaeweza kutaka mtoto wake aaribike labda awe kichaa, Mimi sitaki hata mtoto wangu aende kulala ata kwa ndugu yoyote sababu Dunia imearibika, mimi ndo najua machungu ya mtoto wangu nitakuwa naye" Alisema -Irene uwoya.
 

Attachments

  • 1781335804114.jpg
    1781335804114.jpg
    108.2 KB · Views: 8
Wayback Zamaradi Mketema yupo Clouds alimhoji gay maarufu kipindi hicho alikua anaitwa Kaoge.

Kaoge alikua na usemi wake maarufu anasema "Mtoto show rangi ya jogoo chakula chake ub00"

Ile ishu ilienda viral Clouds wakapigwa fine. Kaoge akapoteza maisha kwakua ndogo ilioza. Zamaradi akahama Clouds.
 
Wayback Zamaradi Mketema yupo Clouds alimhoji gay maarufu kipindi hicho alikua anaitwa Kaoge.

Kaoge alikua na usemi wake maarufu anasema "Mtoto show rangi ya jogoo chakula chake ub00"

Ile ishu ilienda viral Clouds wakapigwa fine. Kaoge akapoteza maisha kwakua ndogo ilioza. Zamaradi akahama Clouds.
Dada angu alikua anaolewa saloon anapofanya make up kaoge alikua anafanya kazi hapo.
Nikapewa hela nikampe kaoge akanunue toothstick.

Nimetoka nje namkuta nikashindwa nimuitaje! Alikua amevaa skintight na top sura ngumu ile kazi ni kazi.
Nikamung'unya mdomo "kaka umeambiwa ukanunue stick za meno" akacheka akaenda kununua.

Halafu hakufa kwa kuoza nyuma, alikufa kwa ugonjwa.
 
Dada angu alikua anaolewa saloon anapofanya make up kaoge alikua anafanya kazi hapo.
Nikapewa hela nikampe kaoge akanunue toothstick.

Nimetoka nje namkuta nikashindwa nimuitaje! Alikua amevaa skintight na top sura ngumu ile kazi ni kazi.
Nikamung'unya mdomo "kaka umeambiwa ukanunue stick za meno" akacheka akaenda kununua.

Halafu hakufa kwa kuoza nyuma, alikufa kwa ugonjwa.
Mbona taarifa zilivuma hivyo? Kwamba ndogo ilioza
 
Back
Top Bottom