jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Hivi huyu bidada miziki yake huwa inapigwa bongo?
Kwa habari zaidi kuhusu miziki yake na bio gonga chini...
ReverbNation
My take: huyu dada ni mwanamziki ambaye maybe hajapata producer ama direction.Sijaweza kuona nyimbo yake, however ni "mwanamziki"
Kwa habari zaidi kuhusu miziki yake na bio gonga chini...
ReverbNation
My take: huyu dada ni mwanamziki ambaye maybe hajapata producer ama direction.Sijaweza kuona nyimbo yake, however ni "mwanamziki"