Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hebu kuweni fair, yaani Vincent anarudishwa nyumbani na Salma (mpiga-gita)anabaki hata bila kuingizwa danger zone huku mama Rita anasema hakuna kama huyo na master J anakenua meno tu wakati...
1 Reactions
38 Replies
8K Views
Hebu niambieni yuko wapi dada huyu baada ya kuwa ametumika na akina Chipungahelo ktk mambo ya Miss Utalii na miss world Bikini. It seems few are benefiting from all these parading and cat walking...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwanamziki mwenye asili ya kongo aliyetamba kipindi cha nyuma na wimbo wake wa nuhu tufungulie safina kossovo kichaa amerudi tena kivingine. Baada ya kuwa amafukuzwa nchini alipokamatwa arusha...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mtoto wa Whitney houston Bobbi Kristina aliye na mahusiano na kaka yake wa hiari sasa amechumbiwa,uhusiano wao umezua gumzo na baadhi ya familia yake hawakubaliani na uhusiano huo,wanahisi kaka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
DMX amesema hajui kutumia computer kabisa, eti inamuogopesha hata kuiangalia! DMX Rapper mwenye sauti ya kipekee hasa kwenye miondoko ya Hip Hop DMX, ameweka wazi kuwa ameshindwa kabisa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tazama picha ya perfomance yake ya fiesta then toa comment yako,binafsi alinisuprise kwa hili.duhu!
0 Reactions
39 Replies
7K Views
Jana usiku akiwa ktk kipindi cha mikasi alikanusha madai ya Watz waishio ughaibuni kuwa ameisaliti Tz Na mlima kilimanjaro na lugha maridhawa Kiswahili. alidai kwa kua kiswahli na ml Kilimanjaro...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Kelvin Jackson Twissa'sio kwa ubaya ila heshima kwake huyu mkuu he is genius na anajua anachokifanya na vijana wengi waliopo makazini wanataka kufika nafasi au level kama yake japokuwa sio kubwa...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
  • Closed
Jacqueline Ntuyabaliwe Kwa wapenzi wafuatiliaji wa Miss Tanzania 2000, habari kutoka kwa Sports Lady, Dina Ismail zinasema -- MISS Tanzania 2000 Jacquiline Ntuyabaliwe amefanikiwa kujifungua...
1 Reactions
52 Replies
28K Views
  • Closed
Wema sepetu akiwa ndani ya mjengo wake wa nguvu maeneo ya K'nyama. Anadai ni yake amenunua, mapambo tu yanagharimu zaidi ya milioni 50 za kitanzania. usikose kusikiliza kipindi cha take one clouds...
3 Reactions
79 Replies
27K Views
Jana mtu mzima AY katokelezea kwenye segment ya copy and paste kwenye kipind cha orijino commedy -TBC 1,shukrani zimwendee joti kwa kuwafichua vilaza wote wanaojiita wanamziki,
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Hivi huyu Rita poulsen ameolewa? au kaposwa? kwa sbb ana ukosha sn moyo wng yupo bomba mbaya najpanga kufanya mipango lkn kabla cjafanya mipango ya kumfata naomba mwenye kujua details zake anipe...
0 Reactions
32 Replies
15K Views
Nilikua na hamu kweli ya kuangalia mahojiano ya Mrisho Mpoto 'Mjomba' na Salama kwenye kipindi cha Mkasi nikitegemea kukutana na Kiswahili kilichonyooka na misemo mitamumitamu ya Kiswahili...
0 Reactions
19 Replies
10K Views
Wameachia wimbo mkali unaitwa Morogoro,hii imetokana na wimbo walioutoa wana kigoma na wao wakaamua kuwapiga bao!! Big up Morogoro allstars!
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Mbunge wa MBEYA MJINI,MH.JOSEPH MBILINYI,jana amebarikiwa kupata mtoto wa kike alompa jina la SASHA-DESDERIA,na mama wa mtoto huyo anaitwa FAIZA..
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Clouds haiwathamini wasanii wa bongo,wamerusha hewani show ya wasanii wa bongo halafu hawakuonyesha ya Rick Ross,wangeonyesha show zote au wasionyeshe zote.
0 Reactions
25 Replies
4K Views
  • Closed
STAA wa filamu Bongo, Lulu Mathias ‘Aunty Lulu' ametoa la moyoni kuwa, anaumizwa na kitendo cha baadhi ya wanaume kumtumia kimwili kisha kumtosa. Akizungumza kwa masikitiko hivi karibuni...
0 Reactions
35 Replies
12K Views
Yaani too much .
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimehudhuria show nyingi za pamoja kama Fiesta zinazowakutanisha wasanii wa muziki wa aina tofauti.Nimegundua wasanii wa Bongofleva a.k.a wabana pua huwa wanapotezwa vibaya na wasanii wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Aisee fiesta fell out of expectation, watu ni wachache, na wengi wao waliopo ni watoto wa secondary, ukiviona vidogo ,vinakunywa bia na fegi. Wale vijana wanaofeli fom 4 ndo wateja wa fiesta...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…