HII KAULI ALIYO ITOA MWENYEWE KUTOKANA NA TUKIO HILO
kiukweli mimi kama Jacquline Wolper sina ubaya na mtu yeyote, ila nmeshangaa kuona watu nisiyo wajua kuja usiku wa manane na kunichomea gari...
Chris Brown (katikati) akiwa na washkaji zake
Juzi Rihanna aliandaa party ya Halloween huko West Hollywood na kukaribisha mastaa kibao akiwemo swahiba wake Chris Brown.
Chris ndiye aliyezua...
MSANII anayeshikilia nafasi ya juu kwa sasa kwenye muziki wa kizazi kipya Tanzania Nasseb Abdul Diamond, inasemekana kuwa ameamua kutoa ya moyoni juu ya Wema Sepetu katika ngoma yake mpya ya...
kwenye shindano la miss Tanzania nilimuona mwanamuziki wa nyimbo za asili Wanne star akiimba nyimbo za kundi la Makhirikhiri ,sijaelewa kwanini alifanya hivyo,na sijui kama alizingatia sheria ya...
AKATI msanii wa bongo movie Rayuu, picha zake zinazoonesha sehemu kubwa ya mwili wake na tattoo kuvunja mtandaoni, ishu hiyo sasa imechukua sura mpya baada ya kudaiwa amefukuzwa kwao na sasa...
producer aliyekuwa mashuhuri katika utengenezaji wa midundo ya mziki hapo bongo al maarufu kama dunga ivi yuko wapi jamani ?
Nataka kufanya naye kazi ?
Tunamshukuru Mungu kwa kumwokoa Dotnatha. Kikubwa zaidi ni kwamba ndani ya mwezi mmoja wa wokovu wake keshatunga nyimbo tatu, na yuko mbioni kuachia album.
My Take; Wokovu ni mzuri, lakini kutoa...
Scandal inayohusiana na wimbo mpya wa Diamond Nataka Kulewa imeendelea kuchukua sura mpya baada ya H.Baba leo kuuambia mtandao huu kuwa Diamond Platnumz ameanza kutuma watu wake ili waiibe flash...
Bibie Abti Ezekiel akiwa na wapambe wake na nguo maalum za kukatia mauno kwenye Ngoma ya Kibao kata
Mauno yakizungushwa kabla ya kuchanganya
Mauno yalipomkolea akalala chini na kuzungusha...
Haaaahaaaaaaaaaa
mungu mkubwa kweli anaposema wawili wataunganika na kuwa kitu kimoja aijalishi we ni kituko kiasi gan mbele ya jamiii bado neno la mungu litasimama pale pale na hatimae aunt...
MAMA mzazi wa staa wa Bongo Fleva mwenye skendo ya kubwia madawa ya kulevya, Rehema Chalamila Ray C, Magret Mtweve ametoa tamko kali dhidi ya aliyekuwa mpenzi wa mwanae, Isaac Makuto Lord...
WAKATI ikidaiwa kuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya Matonya, alifungiwa ndani kimapenzi na mmoja ya wasanii wa bongo movie na kulizwa shilingi za kitanzania milioni 6, sasa ameamua kuweka wazi...
Hashim Thabit:
Enzi hizo tukiwa naye dodoma 90's yeye na mama yake walikuwa wakijikimu kimaisha kwa kuuza kahawa na kashata,hashim ndio aliyekuwa muuzaji,kweli maisha yana badirika,kwahyo vijana...
Wanajamii
Hivi karibuni kumeibuka wizi wa vifaa vya magari maeneo mbalimbali,especially jiji la Dar.Wizi huu umekuwa ukifanyika kwenya maeneo ya maegesho na hata majumbani nyakati tofauti tofauti...
Mimi napata taabu sana kulielewa hili kwa maStar wa bongo, especially wanawake.... Hivi hamuoni kuwa mnajidhalilisha kwa kuonyesha nyeti zenu mbele ya kadamnasi, au msipofanya hivyo mtapunguza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.