Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 442
Nimehudhuria show nyingi za pamoja kama Fiesta zinazowakutanisha wasanii wa muziki wa aina tofauti.Nimegundua wasanii wa Bongofleva a.k.a wabana pua huwa wanapotezwa vibaya na wasanii wa Hiphop,wakipanda stejin wabana pua hadhira inakuwa doro ila akipanda mtu wa Hiphop anapata shangwe za kutosha mfano: Fid,Roma,Joh,FA,Stamina,etc.
Sasa nashindwa kuelewa huu msemo wa HIPHOP HAIUZI unamaana gani,ni mauzo yepi yanayoongelewa hapo?
Sasa nashindwa kuelewa huu msemo wa HIPHOP HAIUZI unamaana gani,ni mauzo yepi yanayoongelewa hapo?