HIPHOP vs BONGOFLEVA

Mkare_wenu

JF-Expert Member
Mar 11, 2011
1,714
442
Nimehudhuria show nyingi za pamoja kama Fiesta zinazowakutanisha wasanii wa muziki wa aina tofauti.Nimegundua wasanii wa Bongofleva a.k.a wabana pua huwa wanapotezwa vibaya na wasanii wa Hiphop,wakipanda stejin wabana pua hadhira inakuwa doro ila akipanda mtu wa Hiphop anapata shangwe za kutosha mfano: Fid,Roma,Joh,FA,Stamina,etc.

Sasa nashindwa kuelewa huu msemo wa HIPHOP HAIUZI unamaana gani,ni mauzo yepi yanayoongelewa hapo?
 
kbaadilishe title kule kwenye dimond ni noma isomeke Hip Hop ni noma.
 
Nimehudhuria show nyingi za pamoja kama Fiesta zinazowakutanisha wasanii wa muziki wa aina tofauti.Nimegundua wasanii wa Bongofleva a.k.a wabana pua huwa wanapotezwa vibaya na wasanii wa Hiphop,wakipanda stejin wabana pua hadhira inakuwa doro ila akipanda mtu wa Hiphop anapata shangwe za kutosha mfano: Fid,Roma,Joh,FA,Stamina,etc.

Sasa nashindwa kuelewa huu msemo wa HIPHOP HAIUZI unamaana gani,ni mauzo yepi yanayoongelewa hapo?

wewe ni kizazi cha wapenda FM..haujifichi.
 
Hilo halina ubishi Hip hop ina tisha hata kwenye hilo tamasha hip hop ili lipendezesha sana!
 
Hip-Hop haiuzi kwa sababu haipatikani kwa wadosi, Huku mtaani ndio tunajua inauza..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom