Afande Sele,O-Ten na Stamina wawapiga bao wana kigoma!

King Kong III

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
51,644
68,594
Wameachia wimbo mkali unaitwa Morogoro,hii imetokana na wimbo walioutoa wana kigoma na wao wakaamua kuwapiga bao!! Big up Morogoro allstars!
 
wakati myie mkiongelea ukabila na udini kuzidi kuwatafuna, wachaga wao wanawaza pesa na biashara mpya. hakunaga akina saida kaloli uchagani wala wanaofokafoka ila kunawafugaji na nguli wa biashara..go go chaga pipo
 
wakati myie mkiongelea ukabila na udini kuzidi kuwatafuna, wachaga wao wanawaza pesa na biashara mpya. hakunaga akina saida kaloli uchagani wala wanaofokafoka ila kunawafugaji na nguli wa biashara..go go chaga pipo

Temba, akina joh makina, gnacko, lordeyes, akina chindo akina machalii, wao kabila gani ebu tuambie
 
Sina muda wa kurumbana na mvaa vipedo a.k.a Wahabi. subilini matokeo ya form four muandamane maana mwaka huu ndio mtafeli kweli kweli.

usipaniki mzee kwani kwa padri kuhamasisha shughuli za kanisa kuna kosa gani? hiyo ndio kazi aliyoisomea huko kwingine anasuasua tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom