Raha kivipi?
Ni tusi kubwa kwa wasanii wetu ila wao hawajui,imekuwa ni ubaguzi
wabongo bana, gari ninunue mimi kuendesha unipangie wewe.
Wanajua ni sababu gani hawajarusha show yake ni kwamba wanataka ambao hawakwenda iwaume ili siku nyingine waende waongeze mapato. Wasanii wa kwetu hawa si tunao kila siku
wangeonyesha show zote au wasingeongeza kabisa
Kumaanisha ya Rick Ross haijaridhisha?
hivi ndo mara ya kwanza kuona double standard bongo. Yaani mnataka rick ross aende sawa na ney wa mitego au, I MUST BE KIDDING
Aisee hivi wewe una akili timamu kweli? yaani mtu imuume kutohudhuria show ya Rick Ross wakati CD zipo? ni kwa nini mtu alipie kwenda kusikiliza Cd wakati hata nyumbani unaweza kusikiliza?wabongo bana, gari ninunue mimi kuendesha unipangie wewe.
Wanajua ni sababu gani hawajarusha show yake ni kwamba wanataka ambao hawakwenda iwaume ili siku nyingine waende waongeze mapato. Wasanii wa kwetu hawa si tunao kila siku