Igangilonga
Senior Member
- Mar 11, 2006
- 133
- 27
Mimi napata taabu sana kulielewa hili kwa maStar wa bongo, especially wanawake.... Hivi hamuoni kuwa mnajidhalilisha kwa kuonyesha nyeti zenu mbele ya kadamnasi, au msipofanya hivyo mtapunguza uStar wenu? Mimi naona huu ni ulimbukeni wa kuiga tamaduni za watu wengine! Unajisikiaje picha zako zinapotoka gazetini ndugu zako wanaziona (baba, mama, mjomba, kaka n.k.)???!!
View attachment 66844
View attachment 66844