King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,509
Hashim Thabit:
Enzi hizo tukiwa naye dodoma 90's yeye na mama yake walikuwa wakijikimu kimaisha kwa kuuza kahawa na kashata,hashim ndio aliyekuwa muuzaji,kweli maisha yana badirika,kwahyo vijana msikate tamaa,pambaneni.
Inasemekana ndio mwanamichezo/msanii wa kwanza kwa utajiri hapa tanzania
Enzi hizo tukiwa naye dodoma 90's yeye na mama yake walikuwa wakijikimu kimaisha kwa kuuza kahawa na kashata,hashim ndio aliyekuwa muuzaji,kweli maisha yana badirika,kwahyo vijana msikate tamaa,pambaneni.
Inasemekana ndio mwanamichezo/msanii wa kwanza kwa utajiri hapa tanzania