Papa Leo XIV anatarajiwa kufanya ziara ya siku 10 barani Afrika kuanzia Aprili 13, 2026 safari ambayo itakuwa ya kwanza kwake tangu achaguliwe kuongoza Kanisa Katoliki, na atatembelea Algeria, Cameroon, Angola na Equatorial Guinea. Pia itakuwa mara ya kwanza kwa Papa kutembelea Algeria, taifa lenye Waislamu wengi.
Disemba 2025, Papa Leo alitangaza nia yake ya kufanya ziara nchini Algeria, kuzuru maeneo ambayo Mtakatifu Augustine aliishi