Mdau amesema baada ya kurudi nyumbani, alimemkuta mwenye nyumba wake akiwa ndani ya nyumba aliyopanga bila ridhaa yake, na cha kushangaza hata baada ya kuniona hakushtuka, mpaka sasa sijui alikuwa na lengo gani.
Amesema hakukuwa na ukarabati wala sababu yoyote ya msingi ya kuingia ndani, tena bila ridhaa yangu. Hakikisha kwenye hiyo nyumba unayoenda kupanga, au umepanga unapewa funguo zako zote kama ni tatu, ni tatu, zote au ubadilishe kitasa kabisa.