Hii sio taarabKomando..komando..komandooo wambie sisi ndo vipensi komandooo
๐๐๐๐๐๐Kama ni Mwanaume, sioni umuhimu wa kusikiliza miziki ya aina hii ๐จ๐จ.
Saivi unasikiliza sana wanaijeria dada yangu๐คฃ๐๐Miaka ya 2011/12/13 nilikuwa nazijua taarabu mno. โSina muda huo, nani kama mama, mtoto show rangi ya jogoo.
Kukaa Dar napo ni kizaizai ๐๐
๐๐๐๐Miaka ya 2011/12/13 nilikuwa nazijua taarabu mno. โSina muda huo, nani kama mama, mtoto show rangi ya jogoo.
Kukaa Dar napo ni kizaizai ๐๐
ni wapopo na hiphop. Kina Zuchu tunasikilizia bar ๐คฃSaivi unasikiliza sana wanaijeria dada yangu๐คฃ๐๐
๐ค๐ค๐ค๐ค๐๐๐๐๐๐๐๐
Nimeisikia leo Wasafi Fm...... Jikoni unaogea, bafuni unanpikiaSi bure we umerogwa
Vituko vya makusudi
Badala ya soda baridi
Ama juice ya chungwa
Ushamba umekuzidi, andazi wanywea tongwaaa ๐๐
Nyimbo za ajabu sana taarabu
Haha ngoma inaitwa utalijua jijiNimeisikia leo Wasafi Fm...... Jikoni unaogea, bafuni unanpikia
fatma nyoro huyu dada nmkubali ana sauti nzuri yeye ashura machupa pamoja na leila rashidKuna ile. Mm sjui kuattach, maana hizo nyimbo sina kwa cm.
Heshimaa yangu imewatia kiburi mnanipaka matope eheeee
Aaah na utu wangu umewatia jeuri mnaona sjui mfanyaje..
Aha basi wenzanguuuuuu
Huo si ujabaliiii
Hayo ni malupe lupeee eheee
๐๐ enzi hizo. Utaiambia nn daslam na taarabu.