self

  1. G

    Tanzania ni jamii ya watu wenye self esteem ya kujithaminisha kwa vitu vya kijinga, vya muhimu hupewa kisogo

    Self esteem ni vile jinsi unavyojikubali kwa mtazamo wako, watu wengi hujikubali kwa maarifa waliyonayo, elimu, vipato, n.k. Kwa wenzetu nchi zilizoendelea mtu anajikubali zaidi na kuona kinachompa heshima na kukubalika ni Maarifa mfano kujisifu kila mwaka anasoma vitabu 30, Kipaji...
  2. Money Penny

    Self love ndio nini?

    Haya jamani, Kuna kampeni inatembea duniani inaitwa self love. Wale watafsiri wa lugha sanifu ya Kiswahili waje watuambie, self love ina maana gani? Kama una picha weka.
  3. Dr Mgalatia Tz

    Natafuta chumba cha kupanga single self (Mbeya town)

    Habari za wandugu! Naombeni msaada wakuu. Kama kuna yeyote anayeweza kunipatia msaada wa chumba kizuri hapo mjini mbeya, pasiwe mbali na Mtaa wa mahakama Kuu. (Sehemu ya bajaji moja hadi maeneo ya Open University itapendeza) Ninatanguliza shukrani zangu za dhati kabisa.
  4. Logikos

    Mentality Shift; From Self Reliance to Total Dependency

    There has been a shift in our way of Thinking we use to think we can became self reliant and do all what needs doing.., of-course nothing wrong with assistance here and there....; Now our mentality has changed and we think we can't do anything worthwhile without assistance of others... we should...
  5. M

    Written interview question credit officer,m fuko wa self self MF

    hellow guys naomba meongozo written interview question credit officer,mfuko wa self self MF
  6. Jamii Opportunities

    Senior ICT Officer II at SELF MF February, 2024

    Position: Senior ICT Officer II 1.1.2 DUTIES AND RESPONSIBILITIES To design, code, and debugging software applications based on various deployment platforms (e.g. web, mobile, desktop etc.), operating systems, programming languages, database management systems, ect, software analysis, code...
  7. Elli

    KERO Huu mfumo wa Employee Self Service wa Utumishi haufanyi kazi

    Sioni sababu na nashangaa kwanini UTUMISHI wamekimbilia kutumia ESS na huku ukweli haufanyi kazi, unaingia Online wanakwambia wanashidnwa ku-retrieve taarifa zako, unaomba uhamisho, unajaza kila taarifa then unakuta hakuna kiytu chochote na hakuna mtu wa kukusadiai. Naupenda sana Mfumo wa NEST...
  8. W

    House4Sale Kilasilo Guest House inauzwa

    KILASILO GUEST HOUSE INAUZWA Specifications; 9 rooms self contained zote Fence eneo lote + gate 840m² eneo Kisima (120m) maji muda wote Dawasco pia maji yapo Kutoka barabara kuu ni 600M LOC: MADALE MWISHO Bei 135M (Maongezi Yapo) Mawasiliano 0748 270 719
  9. D

    My fellow Africans, let's work up and have self esteem

    Educated Africans will defend Quran, defend Bible, defend everybody else but will never defend their ancestors. We are not being educated in Africa, we’re being programmed.
  10. R

    Printer inatoa alarm kuwa no paper pickup

    printer inatoa alarm kuwa NO PAPER PICK UP tatizo ni nini? inashindwa ku print
  11. N

    Wakazi wa kigamboni naomba assistance nahitajiMaster rooom(single self) maeneo ya kibada, ungindonii au mji mwema

    Habarii great thinkers, Naomba assistance Kwa wakazi wa maeneo tajwa hapo juu. Natafuta room ya kupanga iwe na choo ndani(single self) mazingira yawe na usalama Nahitaji kuhamia harak sana. Yoyote mwenyej taarifa kindly assist me Natanguliza shukrani 🙏
  12. YE67NBE

    Kisa dislike watu mnajisikia kufa duuuh, asee I doubt your self worth

    Wakuu, za sahizi tena Nipo hapa nacheka kaa fala, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi, Maana najua humu wengi ni watu wazima sana mostly 28+ huko Sema mpo...
  13. kayanda01

    Naombeni Ramani ya Master, sebule, chumba self, jiko, study room

    Naombeni ramani simple nzuri ya kisasa. Roof ya kawaida ya bati (sivutiwi na contemporary roof). *Master room *Sebule/sitting room (kubwa) *Self bedroom *Jiko *Study room N.B: Ni kwaajili ya bachelor life. So public toilet itakuwa nje.
  14. Pascal Mayalla

    Wajua, kuna 2 Types of Leaders. Born Leaders na Manmade Leaders?. Je, Wajua tutamfaidi zaidi Rais Samia kipindi cha 2025-2030 kuliko sasa If Only..?

    Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, leo makala yangu ni makala ya dhana dhanifu, kuhusu Tanzania ya 2025 -2030. Makala ya leo kwanza inafundisha kujua types mbili za leaders, kuna born leaders, na made leaders, na kwenye made leaders kuna manmade leaders na...
  15. Zacht

    Kamikaze drone ya Russia imeharibu mzinga hatari wa marekani

    Kamikaze drone ya mrusi lacent kamikaze drone imeendelea kuwa pasua kichwa kwa majeshi ya Ukraine kwa ufanisi wake mkubwa. Kamikaze hio Imeharibu mzinga huo unafahamika kama M109 self-propelled howitzer uliokuwa na masaada mkubwa kabisa katika uwanja wa vita kwa upande wa Ukraine, uliotolewa...
  16. Intelligent businessman

    Apart from yourself, who else is your favorite character on JamiiForums and why?

    Kwenye maisha tunakutana na Mambo mengi yapo yenye kutufurahisha na kutuhuzunisha. Japo Kuna baadhi ya vitu ambavyo huwa vinatupa nafasi ya kuwa watu wengine kabisa. Mfano 👉I kwangu ni jamii forums imekuwa ikinifundisha,furahisha,huzunisha na hata muda mwingine kuni habarisha kutokana na...
  17. Execute

    Mbeya gesti yenye vyumba self contained inaanzia elfu kumi

    Huu mkoa gharama za maisha zipo chini sana. Mtu akishindwa kuishi huku basi ni bora afariki. Nimefika hapa na kushangaa guest house nzuri kabisa na ipo sehemu nzuri, haina mambo ya hovyo lakini bei elfu kumi. Wali samaki nimekula sehemu kwa shilingi 2500.
  18. S

    Marekani: Howitzer za Ufaransa (CAESAR 155 mm Self Propelled Howitzer) zateketezwa vibaya mno Ukraine kwa artillery ya Urusi

    Marekani yaripoti kuwa howotzer za Ufaransa (French CAESAR 155 mm Self Propelled Howitzer) zinachomwa vibaya na kuangamizwa na MLRS (Artillery) za Urusi nchini Ukraine. Katika kuthibitisha hilo Marekani imeambatanisha na video iliyorikodiwa na drone (video ipo hapo chini) wakati artillery ya...
  19. raoka kubanda

    Beka Mfaume(The greatest himself)

    Ama kwa hakika aliyewahi kuthubutu kusoma kazi za huyu mzee anaweza kusadiki maneno yangu kwamba ni kalamu moja flani hivi yenye utulivu ndani yake..... riwaya kama MWIBA...THE GOD FATHER...TUFANI...DHIHAKA....MARRY MARIAM... na nyingine nyiingi..... napenda kushare na nyinyi hii najua wapo...
Back
Top Bottom