Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Wakuu naomba mwenye kujua bei za vile vyuma vinavyotumika kujengea dari. Huwa zinatumika pamoja na gypsum. Majina ya mafundi wanaziita angle au channel au trunk. Naomba kujua duka na bei zake.
0 Reactions
1 Replies
64 Views
PLN 0001 2BR Ramani ya Vyumba Viwili Living room (Sebule) 1 Master bedroom with a Dressing room (W.I.C) 1 Single bedroom Kitchen (Jiko) Public toilet (Choo cha jumuiya) Ramani hii ina privacy...
31 Reactions
473 Replies
36K Views
Wakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenye nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu, Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa? Sio...
3 Reactions
34 Replies
853 Views
Zamani tuliweza kuteta mawili matatu na jirani huku kila mmoja akiwa kibarazani kwake. Hii iliboresha sana mahusiano na umoja wetu wa kiafrika. Sasa huyu jirani sijui kenge gani kamshauri...
17 Reactions
35 Replies
1K Views
Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi. Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena...
9 Reactions
95 Replies
2K Views
WanajamvI anahitajika fundi mtalaam wa kuweka urembo kwenye NGUZO za nyumba mwanza
1 Reactions
6 Replies
243 Views
Wadau nawasabahi. Nimebahatika nimepata kiwanja Eneo la Mkorea njia ya kwenda Kibada chenye ukubwa wa 20mx30m. Mipango yangu nikujikakamua nijenge Ghorofa 1 ya vyumba 3 jiko dinning vyoo na...
3 Reactions
17 Replies
345 Views
MAKALA YA 9 Leo tuangazie janga ambalo limekuwa likitokea katika nchi yetu kila baada ya miaka kadhaa. Kuanguka kwa Majengo 1.Sababu kuu za Kuanguka kwa Majengo ni kama zifuatazo MSINGI WA JENGO...
2 Reactions
13 Replies
411 Views
MAKALA YA 10 Karibuni tena katika MAKALA za ujenzi.Leo nataka tuangazie juu ya makosa mbalimbali yanayofanyika katika ujenzi wa majengo . 1.KUNUNUA VIWANJA KATIKA MAENEO HATARISHI Kuna watu...
4 Reactions
8 Replies
173 Views
Kwa nn mafundi hatuaminiki Kwa matajili? 1)sio waminifu 2)sio wachapa kazi 3)sio wabunifu 4)mawezi nk Kwahyoo tufanyaje tuweze tokomeza mafundi namna hii?? 1)kabla ya kufanya naye kazi huyo...
0 Reactions
0 Replies
62 Views
Habarini wakuu hivi hii nyumba inaweza gharimu sh ngapi mpaka finishings? Je inachukua tofali ngapi? Na kwa msingi (foundation) inaweza gharimu sh ngapi (ufundi+building materials). Msaada jamani...
4 Reactions
47 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa kuangalia TV Drama/Series za Hollywood, lazima kutakuwa kuna nyumba umeipenda na ungetamani ungeishi humo. Leo tuangazie baadhi ya ramani hizo SEHEMU YA KWANZA 1.HOW I MET...
1 Reactions
6 Replies
325 Views
Kwenye hii thread tutakuwa tuna share Mbinu za wizi za mafundi ujenzi ili kusaidia wale wanaotaka kujenga "wasipigwe ". Wengi tumepigwa sana hadi kuzijua hizi mbinu. Karibuni.
25 Reactions
151 Replies
5K Views
Wengi wanaogopa sana kujenga ghorofa wakizani labda mpaka uwe na pesa nyingi ndio ujenge. Ukiamua hakuna kinachoshindikana, kama umeweza kujenga nyumba ya chini,jua una uwezo pia wa kujenga...
29 Reactions
108 Replies
19K Views
Tunafanya decoration za namna yoyote ya nyumba yako ikiwemo kutengeneza TV show case Za KISASA, board decoration and design, kujenga tailizi, finishing zote za nyumba na kupaka rangi za KISASA kwa...
1 Reactions
3 Replies
156 Views
Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro wameendelea kuchukua hatua za haraka kuziba mashimo yaliyotokeza katika barabara kuu ya Morogoro – Iringa hasa eneo la hifadhi ya Taifa...
0 Reactions
0 Replies
95 Views
My Take Tuache short-cut. Kama bajeti inabana jenga kawaida tu
2 Reactions
14 Replies
1K Views
  • Redirect
Wakuu za saiz ivi unatamn kupendezesha nyumba Yako na vitu vya thamn as vile kuskimmy,kuseti mifumo ya maji,kujenga gadeni nk karibuu plumbing bc Kwa mawasiliano zaidi No:0789110941
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mambo yanayoo pelekea choo Cha ndani kurudisha harufu ndani naomba sababu wakuu!! 1) Fundi kutokuwa makini wakati wa kuseti choo
0 Reactions
Replies
Views
Habari za weekend wakuu, Tusaidiane kufikisha Hii taarifa ya adha inayowakumba wakazi wa majohe kwa mda mrefu sana kuhusiana na ubovu wa barabara kuanzia shule ya sekondary Halisi mpaka kituo cha...
1 Reactions
5 Replies
445 Views
Back
Top Bottom