Wakuu habari za hapa,ninauza ramani ya kuanzia maisha ,ramani ya vyumba viwili,KIMOJA master,jiko,sebule, choo cha public. Ramani hiyo Ina kurasa za paa,msingi,muonekano,na vipimo vyake. Kwa mawasiliano nichek inbox.
NB: NAUZA KWA SABABU MIMI MWENYEWE NIMENUNUA,NDIO AMBAYO NIMEJENGA.
Wadau habari zenu.
Nahitaji nyumba tajwa hapo juu kwa budget ya 150k mpaka 180k iwe ndani ya fence luku ya kujitegemea tafadhali.
Ikiwa kuanzia Moshono Corner/Kilimani mpaka Siara itapendeza zaidi.
Natanguliza shukran kwenu.
Naombeni ramani simple nzuri ya kisasa. Roof ya kawaida ya bati (sivutiwi na contemporary roof).
*Master room
*Sebule/sitting room (kubwa)
*Self bedroom
*Jiko
*Study room
N.B: Ni kwaajili ya bachelor life. So public toilet itakuwa nje.
Habari wakuu?
Nimehamia kwenye nyumba ambayo ina sebule yenye vipimo kama nilivyoainisha hapo juu (Ur 6m kwa Up 4m). Naomba ushauri ninunue flat screen ya nchi ngapi na brand gani ina quality nzuri za picha na inadumu kwa muda mrefu bila kuleta matatizo?
Natanguliza shukran za dhati wakuu!
Habari zenu?
nauza nyumba yenye kiwanja cha ukubwa 25 kwa 20
Nyumba ni ya Chumba na Sebule
Ipo kishili (mtaa wa chadema) bei ni milioni 4
kwa mawasiliano zaidi nipigie kwa 0767-733-555
Habari wa nzengo (salaam kutoka Jijini Mwanza)
Mimi ni kijana mpambanaji. Nimekua katika hustles kwa muda mrefu sasa naona milango ya baraka inafunguka na mimi sitaki kuchezea nafasi. Mwisho wa mwezi uliopita nilibahatika kununua kiwanja kwa bei ya kugalaliza vibaya sana.
Size ya kiwanja ni...
Siku hizi zile foleni za kungojea mafiga kwenye nyumba za kupanga zimepungua sana. Siku hizi wengi wana majiko ya gas chumbani. Kwa kweli yanasaidia sana kuokoa misitu, kurahisisha maisha. Hata hivyo joto unalopambana nalo kwenye chumba wakati unapika ni kadhia nyingine.
Unaishi kwenye chumba...
Wakuu habari za hapa jamvini?
Nitumbukie kwenye mada yenyewe.
Ni hivi nilijenga msingi wa nyumba ya vyumba vitatu moja master, sebule, dining, stoo na public toilet katika plot mbili tofauti na sehemu tofauti pia moja wilayani kwetu na nyingine katika kata yangu. Sasa kote nimeshindwa...
Eti wakuu hivi vitu pamoja na milango, madirisha na umbali hadi darini kwa wastani unakuwa kuwaje. Maana nasikia hadi ngazi zina kipimo chake cha urefu na upana.
Chumba kimoja cha kulala pamoja na sebule.
Eneo: Mbezi Beach
Bei Tshs 100,000/Mwezi
Maji ya dawasa yapo masaa 24, Usalama Upo wa kutosha, Ipo umbali wa dakika 2 kutembea kwa mguu.
Tuwasiliana: 0686648630
Chumba na sebule, Choo cha nje.
Maji ya dawasa, Umeme Luku wawili, Maegesho ya gari ipo, Uzio na usalama Upo.
Bei Tshs 100,000 Kwa Mwezi
Kodi ya Miezi 6
Wasiliana nasi: 0686648630 | 0716442950
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.