Simu yangu katika siku za karibuni imekuwa na tatizo la betri kuisha haraka bila kuitumia nikaja kugundua kuna program (MUSIC) ina update playlist naombeni msaadajinsi ya ku close nitashukuru sana kwa msaada!!!
Balozi wa Tanzania amekana taarifa zilizosambaa kwamba kapewa masaa 48 kwamba anatakiwa aondoke nchini kwao kwa mujibu wa taarifa kutoka ikulu Balozi PATRICK TSERE amekanusha uvumi huo.
jamani naombeni msaada wa kusave videos mabzo umeidownload katika website mbalimbali manake naishia kuangalia tu lakini nikitaka kusave nashindwa msaada pliz mwenye kufahamu shukrani mbele..................
WADAU siku ya jana nilikuwa na demu mmoja hivi ambaye ni mke wa mtu ila huyo jamaa akealisafiri sasa kuna muda jamaa ake akampigia simu yule demu duh jamaa alivyodanganywa ni noma aisee imeniogopesha sana na kunifanya nijifikirie mara mbilimbili kuoa ama kutooa kumbe kwenyendoa ndo kupo hivi
habari ambazo bado hazijadhibitishwa rasmi na uongozi wa yanga africans ni kuwa kocha mkuu wa timu hiyo TOM SANTIEF nae pia ametimuliwa baada ya kuwasimamisha kazi secretariet nzima ya timu hiyo.
mwanamke mmoja amejinyonga jiran na ofisi ya mganga wa hospitali ya wilaya ya geita baada ya mwanae kufikishwa hospitali na kushindwa kupewa huduma stahik na hvo kupelekea mwanae kufariki-source rfa matukio
katika zoezi la usajili wa vitambulisho vya taifa linaloendelea hapa jijini Dar es salaam imeonekana watu wengi ambao sio raia wa Tanzania wanapeleka kadi ya kupigia kura kama kiambatanisho wakati sio raia wa Tanzania wala hawaishi kwa vibali na maafisa wa NIDA inawawia vigumu sana kuwatambua...
kutoka uvunguni kabisa wa moyo wangu na kwa nia ya dhati kabisa bila kushurutishwa na mtu yeyote nimeamua kuvua gamba na kuvaa gwanda katika mkutano mkubwa utakaohutubiwa na mbunge wa maswa magharibi mh silvester kasulumbai.wanamabadiliko wenzangu mnipokee(M4C DAIMA)
hawa jamaa ni wa*** unawapigia simu unawaambia unashida wanakwambia usubiri usikate simu wakati customer care yao sio bure ni ya kulipia.mtu akitoa shida yake tatueni haraka
kati ya matawi ya nmb tanzania yenye huduma mbovu ni tawi la nmb mkwawa branch iringa hamna utaratibu mzuri wa kupata huduma kwa haraka.haiwezekani kukaa katika folen masaa matano.rekebishen hilo
nimekuwa
nikifatilia tovuti ya wizara ya mambo ya ndani kwa muda mrefu sasa
sijaona updates yoyote e.g ukifungua upande wa vacancy hamna lolote wakati hapo majuzi idara inazosimamia zimetangaza ajira mfano magereza na uhamiaji. hivi
hawa IT SPECIALIST wapo pale kwa ajili ya kazi gan?
mwanaharakati mkinga ndan ya itv live katika mada ya kudhibiti wahamiaji haram jamaa yuko deep kuliko maafisa uhamiaji je alishawahi kuwa afisa uhamiaji?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.