Gwaks makono
Senior Member
- Aug 27, 2011
- 110
- 16
nimekuwa
nikifatilia tovuti ya wizara ya mambo ya ndani kwa muda mrefu sasa
sijaona updates yoyote e.g ukifungua upande wa vacancy hamna lolote wakati hapo majuzi idara inazosimamia zimetangaza ajira mfano magereza na uhamiaji. hivi
hawa IT SPECIALIST wapo pale kwa ajili ya kazi gan?
nikifatilia tovuti ya wizara ya mambo ya ndani kwa muda mrefu sasa
sijaona updates yoyote e.g ukifungua upande wa vacancy hamna lolote wakati hapo majuzi idara inazosimamia zimetangaza ajira mfano magereza na uhamiaji. hivi
hawa IT SPECIALIST wapo pale kwa ajili ya kazi gan?