Gwaks makono
Senior Member
- Aug 27, 2011
- 110
- 16
nimeusikiliza kwa makini wimbo wa sarafina freedom is coming tommorow nimeona ni vizuri ukatumiwa na chadema katika mv4c!
Taifa lina wimbo wake kwani tulipata uhuru 09/12/1961 ....... huo cdm utakuwa na mantiki gani,,,, acha kuiga tu kama miziki bongo fleva, ( waige kina Baraka Mwinshehe , sikinde et......),,,,,........
mkuu,,si vibaya kuiga kama kuna tija,, kugusa hisia za watu,, wa tz ndivyo tulivyo,,,ushaona nyimbo mpya za kuendeshea ibada,,,,,teuzi za nafsi ,,nyimbo za injili au luturujia mpya,,,,,zenu za bongo ubongo wa fieva zinachujakila secunde,,,,,,vita ni vita kila silaha ni muhimu niwahimize vijana kutunga nyimbo za kutia ujasiri ukombozi kwa kueleza mateso yetu kwa hisia halisi,,,,,,,Taifa lina wimbo wake kwani tulipata uhuru 09/12/1961 ....... huo cdm utakuwa na mantiki gani,,,, acha kuiga tu kama miziki bongo fleva, ( waige kina Baraka Mwinshehe , sikinde et......),,,,,........
Taifa lina wimbo wake kwani tulipata uhuru 09/12/1961 ....... huo cdm utakuwa na mantiki gani,,,, acha kuiga tu kama miziki bongo fleva, ( waige kina Baraka Mwinshehe , sikinde et......),,,,,........
Tunahitaji
clear, patriotic, and bold statements addressing our problems and
people mobilization towards solution. That's all. Mambo ya ngoma na
mziki yanawafaa zaidi magamba kwa sababu hawana sera za maana za
kuwaeleza wananchi. Wimbo wa taifa na chache zilizopo zinatosha.
Tunahitaji kusikia suluhisho la ufisadi, uporaji wa rasilimali, madaraka
ya nchi kuhodhiwa na "wateule" wachache tena kifamilia zaidi, elimu
yetu inadorora, kilimo muflisi, umasikini uliotia kambi nchini
utaondokaje, ardhi, maji, huduma za afya zilizosambaratika, usafiri -
reli, anga, n.k. n.k. n.k. Haya ndio mambo yanayopaswa kuwaumiza vichwa
wanasiasa na wananchi makini na sio habari ya kuzungusha
viuno!
Naomba kufahamu
Account namba ya M4C kama mtu atahitaji kutupia kachochote kama mchango
wake kwa chama chake; nimeulizwa hii kitu jana na mdau mmoja anaonyesha
kuzikubali sana jitihada za CDM ktk ukombozi wa Taifa hili.
Taifa lina wimbo wake kwani tulipata uhuru 09/12/1961 ....... huo cdm utakuwa na mantiki gani,,,, acha kuiga tu kama miziki bongo fleva, ( waige kina Baraka Mwinshehe , sikinde et......),,,,,........[/QfricaUOTE]
Acha hizo wewe, hujui tone ya wimbo wa TZ ina fanana na ule wa Zambia, South A..........! Sasa huo ni upuuzi gani jamani? Mimi napendekeza nchi ikipata uhuru tutumie huu hapa:
Tazama ramani utaona nchi nzuri,...................
utumwa wa nchi CHADEMA imeukomeshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
kwani amependekeza uwe wimbo wa taifa..mwaka huu msipo vaa chupi vichwani....