Gwaks makono
Senior Member
- Aug 27, 2011
- 110
- 16
mwanaharakati mkinga ndan ya itv live katika mada ya kudhibiti wahamiaji haram jamaa yuko deep kuliko maafisa uhamiaji je alishawahi kuwa afisa uhamiaji?
akhsante sana gwankaja kwa taarifa nzuri much thanx!!Comrade huyu bwana alishawahi kuwa afisa uhamiaji na
alifukuzwa kazi akiwa nje ya ya nchi kwa safari ya kikazi kwa
kuchomekewa baada ya kumnyima gabachori passport,na alipofika airpot tu
akakabidhiwa barua ya kufukuzwa kazi.thanx kwa kunukumbusha juu ya
kipindi hiki
Amepona, maana nilisijkia amelazwa muhimbili muda kidogo!
mwanaharakati mkinga ndan ya itv live katika mada ya kudhibiti wahamiaji haram jamaa yuko deep kuliko maafisa uhamiaji je alishawahi kuwa afisa uhamiaji?
kwan jamaa ni mnyarukolo?Huyu jamaa huwa
anajianda kabla na hii ndo inavyotakiwa sio unakurupuka tu unakaa kwenye
TV ilihali huna uelkewa mpana wa mada iliyopo mezani. Big up
mnyarukolo