Gwaks makono
Senior Member
- Aug 27, 2011
- 110
- 16
samahani ni modemu ya aina gan n nzuri kwa matumizi ya laptop!
Tumia yoyote kulingana na maeneo ulipo KASORO Airtel na Tigo. Hao ni usanii, hazina spidi
Voda ndo mpango mzma,kasi ya ajabu.
Modem nzur kwa sasa ni inayoweza kuchakachulika na kukubali line tofauti.