Dady's little girl
New Member
- Nov 26, 2015
- 4
- 0
Napitaaa
Queen of Bongo fleva.
Google gani hiyo ya kizamani. Back to the topic Shilole ni legendary kwa Afrika level zake ni za kina Yvone Chakachaka, achana na hawa kina Jay Dee wa hapa hapa.
I like this.Alitaka kufanya collabo na JLo watu wakatumia pesa nyingi kwa ajili yake collabo lisifanikiwe.
Duh masihara mengine bhana unaweza kudhani kweli,mara nyingine kuwa serious.
Tunatema pumba kukuenzi mgunduzi wa pumba.Mleta uzi na mifans yake tuache utani inapiga kitu ya arachuga....pumba tupu!
Mleta uzi na mifans yake tuache utani inapiga kitu ya arachuga....pumba tupu!
Shi shi aka mama naniiiikipaji kama cha shiole ni kikubwa mno,hamna namna ya ku describe uwezo wake wa sauti na jinsi anavyofika pitch za juu kama vile Mariah Carey au whitney houston,she is amazing,a songbird,JLO alisanda kule marekani baada ya kuingia studio na kusikia vokali kali za mwanadada shishi ilibidi aombe udhuru na hakurudi tena
kipaji kama cha shiole ni kikubwa mno,hamna namna ya ku describe uwezo wake wa sauti na jinsi anavyofika pitch za juu kama vile Mariah Carey au whitney houston,she is amazing,a songbird,JLO alisanda kule marekani baada ya kuingia studio na kusikia vokali kali za mwanadada shishi ilibidi aombe udhuru na hakurudi tena