Zuwena Mohammed 'Shilole': Uzi Maalumu

Zuwena Mohammed 'Shilole': Uzi Maalumu

Nasubilia kwa hamu collabo ya Nguli wetu Shishi baby na JLo, siku ya kuutambulisha wimbo hakika dunia itasimama kwa dakika 5 kusikiliza hilo jisong la karne

On the way Mkuu! Yuko vizuri...
 
Shishi baby kaingia kwenye ile orodha tukufu hapa JF ya "watu 10 ambao Tanzania inapaswa kujivunia"... nampongeza sana.
 
Shilole amesema yeye si Mkubwa Kama watu wanavyosema kwa sasa Ana umri sawa na wema Miaka 27,kwani alisema aliingia Dar mwaka 2004 kipindi hiko ndio alitoka kuolewa akiwa na Miaka 16.
 
Shilole amesema yeye si Mkubwa Kama watu wanavyosema kwa sasa Ana umri sawa na wema Miaka 27,kwani alisema aliingia Dar mwaka 2004 kipindi hiko ndio alitoka kuolewa akiwa na Miaka 16.
Bado mdogo sana. Anaonekana tu.
 
Shilole amesema yeye si Mkubwa Kama watu wanavyosema kwa sasa Ana umri sawa na wema Miaka 27,kwani alisema aliingia Dar mwaka 2004 kipindi hiko ndio alitoka kuolewa akiwa na Miaka 16.
Umri umemtupa mkono. 27 mingi sana
 
Wewe hujawahi kushikwa mwili wako na mtu yoyote?
Utakuwa mtu wa ajabu sana wewe, kufungiwa hata akina Luwasa waliwahi kufungiwa na Chama Dume, seuze Shishi?

Naona kiswahili kinakushinda! Andika hata kinyamwezi basi ueleweke umeandika kilugha...
 
Shishi on fire..

Endelea kukimbiza, hata magufuli alikuelewa na ushindi ulimpa..!!!

Ila ile collable yako na JLO usiimbe kingereza, tumia tu lugha ya taifa, dunia nzima wakaeee..
 
Back
Top Bottom