We nae chizi wa wap? Shilole nae ni nguli? Acha kutujazia takataka humu ilihali kuna mambo ya msingi ya kujadiliana
Wanambania tu Shishi baby. Kuna watu wanahonga hela video zake zisionyeshwe kwenye TV za nje. Lakini watasubiri sana kwa Shishi baby
 watu wahonge hela kwa ajili ya shilole???? Utakuwa umerogwa c bure
kuna clip moja niliiona, anacheza na mshikaji kama wanatiana.
Yani kweli mtu anaandaa uzi kwa ajili ya hyo nani sijui? ni kukosa kazi ya kufanya au mahaba?