Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,726
- 3,742
Ulieanzisha huu uzi lengo lako kupima upepo au!?
Ulieanzisha huu uzi lengo lako kupima upepo au!?
Umri umemtupa mkono. 27 mingi sana
naomba nitumie namba za simu za shilole nina shida nae saana ya muhimu
Me pia namkubali huyu bidada.
kipaji kama cha shiole ni kikubwa mno,hamna namna ya ku describe uwezo wake wa sauti na jinsi anavyofika pitch za juu kama vile Mariah Carey au whitney houston,she is amazing,a songbird,JLO alisanda kule marekani baada ya kuingia studio na kusikia vokali kali za mwanadada shishi ilibidi aombe udhuru na hakurudi tena
Kushare mawazo si dhambi.
Em tushirikishe na sisi.., unamkubali kwa lipi huyu shishi?
#Shishibaby atachukua tuzo zote za Afrimma, Kilimanjaro na MTV base mwaka huu wa 2016. Anaanza na video bora kuliko zote aliyorekodi South
Una haki ya kujiita screpa!Shilole ni Queen wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ni King wa Bongo Fleva, sema tu wanabaniwaga tuzo ila kiukweli kabisa hakuna wanamziki wakuwafunika hawa Afrika Mashariki na kati. Mtoto watakayemzaa nadhani atamfunika hadi Michael Jackson, such a blessed family!
Wanambania tu Shishi baby. Kuna watu wanahonga hela video zake zisionyeshwe kwenye TV za nje. Lakini watasubiri sana kwa Shishi baby. Queen of bongo fleva. Soon atarudi kufuta vumbi kiti chake.
HahahahahaaWw utakua ndugu yake nuhu mziwanda