MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 19,425
- 40,284
JLO hakufanya poa kukimbia studio. Ila shishy lazima apigwe fitna kutokana na uwezo wake mkubwa wa kimuziki. Huwezi taja ushindi wa Magufuli bila kumtaja shishy.kipaji kama cha shiole ni kikubwa mno,hamna namna ya ku describe uwezo wake wa sauti na jinsi anavyofika pitch za juu kama vile Mariah Carey au whitney houston,she is amazing,a songbird,JLO alisanda kule marekani baada ya kuingia studio na kusikia vokali kali za mwanadada shishi ilibidi aombe udhuru na hakurudi tena