Zuwena Mohammed 'Shilole': Uzi Maalumu

Zuwena Mohammed 'Shilole': Uzi Maalumu

Nasubilia kwa hamu collabo ya Nguli wetu Shishi baby na JLo, siku ya kuutambulisha wimbo hakika dunia itasimama kwa dakika 5 kusikiliza hilo jisong la karne
 
Wewe umetumwa kabisaaa.. Si bure....
 
Google yangu haina computer

Google gani hiyo ya kizamani. Back to the topic Shilole ni legendary kwa Afrika level zake ni za kina Yvone Chakachaka, achana na hawa kina Jay Dee wa hapa hapa.
 
Google gani hiyo ya kizamani. Back to the topic Shilole ni legendary kwa Afrika level zake ni za kina Yvone Chakachaka, achana na hawa kina Jay Dee wa hapa hapa.

Kaanza lini mziki au umuite Legendary? Ashatoa hits ngapi? Ngoma yke ipi ishawah kufika Channel za nje? Ashawah kufanya show gani katka nchi za Africa kuacha Tz?
 
Kaanza lini mziki au umuite Legendary? Ashatoa hits ngapi? Ngoma yke ipi ishawah kufika Channel za nje? Ashawah kufanya show gani katka nchi za Africa kuacha Tz?


Achana na Afrika, show zake nyingi ni Marekani watu wanalipa dolar sio madafu madafu.
 
Shishi ana masugu mikononi kama muuza mkaa...mkorogo nyokooo!
 
boifurend mwenyewe akimisi bihevu anaadhibiwa oni ze spoti...

Watu na mahaba yao, ukiona yupo ujue kapenda.
Karibu tujumuike na washabiki wengine wa Shilole.
 
We nae chizi wa wap? Shilole nae ni nguli? Acha kutujazia takataka humu ilihali kuna mambo ya msingi ya kujadiliana

Wewe endelea na mambo ya msingi, takataka tuachie sisi!
Shishi anashukuru kwa coment yako...
 
Shilole ni nguli ? Teh teh teh teh!


Anyway ni nguli wa kuliwa na kushikwa nyonyo na wazungu.....

Basata wamemfungia kwa unguli huo huo...

Wewe hujawahi kushikwa mwili wako na mtu yoyote?
Utakuwa mtu wa ajabu sana wewe, kufungiwa hata akina Luwasa waliwahi kufungiwa na Chama Dume, seuze Shishi?
 
Back
Top Bottom