Zuio la mijadala ya katiba mpya ni kuzuia elimu hii isiwafikie wananchi

kagoshima

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
2,638
5,143
Jumapili njema wakuu!

Huu ndo ukweli wenyewe!
Kwa kengo lile lile la CCM kutawala raia wasio na elimu, ndiyo chanzo cha nguvu kubwa ya kuzuia elimu ya katiba mpya isisambae kwa raia kwa kukataza uwepo wa mijadala ya katiba mpya. Tafiti za huko nyuma zinaonesha wazi shabiki wakubwa wa ccm ni wale ambao hawakwenda shule. Ule msemo wa " mnyime elimu umtawale " ndio unaotumiwa na ccm kwa sasa.

Ccm hawawezi kubali kuona RAIA wakipata elimu ya uraia, katiba na mambo mengine yanayohusu haki za kiraia. Kumbuka makamanda wa polis inchi nzima ni makada wa ccm. Hivyo wanaona kabisa anguko la ccm ni anguko lao. Hivyo basi juhudi za polis kuzuia raia wasielimike kuhusu katiba na umuhimu wake ni juhudi zile zile za chama mfu Ccm. Ccm hawawezi simama jukwaani kutetea katiba iliyopo hivyo hutumia polis kama nguvu yao Ku suppress mjadala wa katiba mpya kinguvu.

Ni wazi taifa linahitaji katiba mpya. Hata nyoka huvua gamba la zamani ili aweze kukua zaidi ndani ya gwanda jipya. Wao ccm hawana cha kupoteza. Kwao maslahi ya chama kwanza taifa baadaye. Huwezi ukaendelea kutumia mbinu zile zile, taratibu zile zile, maarifa yaleyale utegemee matokeo tofauti. Hakuna mabadiliko, kiuchumi, kisiasa, kidemocrasia yatapatikana hii inchi bila katiba mpya.

Cha kufanya , vuguvugu la katiba mpya liendelee kwa njia zozote zile iwezekanavyo, maana katiba ni kwa ajili ya kizazi hiki ni vizazi vijavyo.
 
Jumapili njema wakuu!

Huu ndo ukweli wenyewe!
Kwa kengo lile lile la ccm kutawala raia wasio na elimu, ndiyo chanzo cha nguvu kubwa ya kuzuia elimu ya katiba mpya isisambae kwa raia kwa kukataza uwepo wa mijadala ya katiba mpya. Tafiti za huko nyuma zinaonesha wazi shabiki wakubwa wa ccm ni wale ambao hawakwenda shule. Ule msemo wa " mnyime elimu umtawale " ndio unaotumiwa na ccm kwa sasa.

Ccm hawawezi kubali kuona RAIA wakipata elimu ya uraia, katiba na mambo mengine yanayohusu haki za kiraia. Kumbuka makamanda wa polis inchi nzima ni makada wa ccm. Hivyo wanaona kabisa anguko la ccm ni anguko lao. Hivyo basi juhudi za polis kuzuia raia wasielimike kuhusu katiba na umuhimu wake ni juhudi zile zile za chama mfu Ccm. Ccm hawawezi simama jukwaani kutetea katiba iliyopo hivyo hutumia polis kama nguvu yao Ku suppress mjadala wa katiba mpya kinguvu.

Ni wazi taifa linahitaji katiba mpya. Hata nyoka huvua gamba la zamani ili aweze kukua zaidi ndani ya gwanda jipya. Wao ccm hawana cha kupoteza. Kwao maslahi ya chama kwanza taifa baadaye. Huwezi ukaendelea kutumia mbinu zile zile, taratibu zile zile, maarifa yaleyale utegemee matokeo tofauti. Hakuna mabadiliko, kiuchumi, kisiasa, kidemocrasia yatapatikana hii inchi bila katiba mpya.

Cha kufanya , vuguvugu la katiba mpya liendelee kwa njia zozote zile iwezekanavyo, maana katiba ni kwa ajili ya kizazi hiki ni vizazi vijavyo.
Mkuu hiki ni kichekesho cha karne. Mnasema wananchi wanataka katiba mpya- WANATAKA KATIBA MPYA, WANATAKA, WANANCHI. Sasa nyinyi mnawapa elimu gani tena? Nyie ni nani? Hebu tuambieni tena tuwaelewe vizuri
 
Jumapili njema wakuu!

Huu ndo ukweli wenyewe!
Kwa kengo lile lile la ccm kutawala raia wasio na elimu, ndiyo chanzo cha nguvu kubwa ya kuzuia elimu ya katiba mpya isisambae kwa raia kwa kukataza uwepo wa mijadala ya katiba mpya. Tafiti za huko nyuma zinaonesha wazi shabiki wakubwa wa ccm ni wale ambao hawakwenda shule. Ule msemo wa " mnyime elimu umtawale " ndio unaotumiwa na ccm kwa sasa.

Ccm hawawezi kubali kuona RAIA wakipata elimu ya uraia, katiba na mambo mengine yanayohusu haki za kiraia. Kumbuka makamanda wa polis inchi nzima ni makada wa ccm. Hivyo wanaona kabisa anguko la ccm ni anguko lao. Hivyo basi juhudi za polis kuzuia raia wasielimike kuhusu katiba na umuhimu wake ni juhudi zile zile za chama mfu Ccm. Ccm hawawezi simama jukwaani kutetea katiba iliyopo hivyo hutumia polis kama nguvu yao Ku suppress mjadala wa katiba mpya kinguvu.

Ni wazi taifa linahitaji katiba mpya. Hata nyoka huvua gamba la zamani ili aweze kukua zaidi ndani ya gwanda jipya. Wao ccm hawana cha kupoteza. Kwao maslahi ya chama kwanza taifa baadaye. Huwezi ukaendelea kutumia mbinu zile zile, taratibu zile zile, maarifa yaleyale utegemee matokeo tofauti. Hakuna mabadiliko, kiuchumi, kisiasa, kidemocrasia yatapatikana hii inchi bila katiba mpya.

Cha kufanya , vuguvugu la katiba mpya liendelee kwa njia zozote zile iwezekanavyo, maana katiba ni kwa ajili ya kizazi hiki ni vizazi vijavyo.
Wanao msemo wao maarufu kuwa eti Wananchi hawataki Katiba Mpya Bali wanahitaji Maji,elimu,barabara,afya nk.Wanawazubaisha wananchi kwa kuorodhesha mambo ambayo hata wakoloni walivijenga au walivifanya na bado tuliwafurusha maana Uhuru,Haki,Utu haujawahi kuwa hisani.
Pia watakuambia sisi Wananchi hatuifahamu Katiba hii mbovu hivyo hata Mpya siyo muhimu.Hivi kutokuifahamu Katiba iliyopo kuna uhusiano gani na Mpya?Akili za CCM wanazifahamu wao wenyewe tu na haikosi ndiyo maana chini ya CCM maendeleo in ndoto.
 
Jumapili njema wakuu!

Huu ndo ukweli wenyewe!
Kwa kengo lile lile la ccm kutawala raia wasio na elimu, ndiyo chanzo cha nguvu kubwa ya kuzuia elimu ya katiba mpya isisambae kwa raia kwa kukataza uwepo wa mijadala ya katiba mpya. Tafiti za huko nyuma zinaonesha wazi shabiki wakubwa wa ccm ni wale ambao hawakwenda shule. Ule msemo wa " mnyime elimu umtawale " ndio unaotumiwa na ccm kwa sasa.

Ccm hawawezi kubali kuona RAIA wakipata elimu ya uraia, katiba na mambo mengine yanayohusu haki za kiraia. Kumbuka makamanda wa polis inchi nzima ni makada wa ccm. Hivyo wanaona kabisa anguko la ccm ni anguko lao. Hivyo basi juhudi za polis kuzuia raia wasielimike kuhusu katiba na umuhimu wake ni juhudi zile zile za chama mfu Ccm. Ccm hawawezi simama jukwaani kutetea katiba iliyopo hivyo hutumia polis kama nguvu yao Ku suppress mjadala wa katiba mpya kinguvu.

Ni wazi taifa linahitaji katiba mpya. Hata nyoka huvua gamba la zamani ili aweze kukua zaidi ndani ya gwanda jipya. Wao ccm hawana cha kupoteza. Kwao maslahi ya chama kwanza taifa baadaye. Huwezi ukaendelea kutumia mbinu zile zile, taratibu zile zile, maarifa yaleyale utegemee matokeo tofauti. Hakuna mabadiliko, kiuchumi, kisiasa, kidemocrasia yatapatikana hii inchi bila katiba mpya.

Cha kufanya , vuguvugu la katiba mpya liendelee kwa njia zozote zile iwezekanavyo, maana katiba ni kwa ajili ya kizazi hiki ni vizazi vijavyo.
Hakuna justification ya kuzuia mjadala au makongamano ya katiba mpya. 'Democratic institutions require that citizens think for themselves, discuss problems freely with one another, and decide issues on the basis of deliberation and the weighing of evidence' - Irving M. Copi.
 
Jumapili njema wakuu!

Huu ndo ukweli wenyewe!
Kwa kengo lile lile la ccm kutawala raia wasio na elimu, ndiyo chanzo cha nguvu kubwa ya kuzuia elimu ya katiba mpya isisambae kwa raia kwa kukataza uwepo wa mijadala ya katiba mpya. Tafiti za huko nyuma zinaonesha wazi shabiki wakubwa wa ccm ni wale ambao hawakwenda shule. Ule msemo wa " mnyime elimu umtawale " ndio unaotumiwa na ccm kwa sasa.

Ccm hawawezi kubali kuona RAIA wakipata elimu ya uraia, katiba na mambo mengine yanayohusu haki za kiraia. Kumbuka makamanda wa polis inchi nzima ni makada wa ccm. Hivyo wanaona kabisa anguko la ccm ni anguko lao. Hivyo basi juhudi za polis kuzuia raia wasielimike kuhusu katiba na umuhimu wake ni juhudi zile zile za chama mfu Ccm. Ccm hawawezi simama jukwaani kutetea katiba iliyopo hivyo hutumia polis kama nguvu yao Ku suppress mjadala wa katiba mpya kinguvu.

Ni wazi taifa linahitaji katiba mpya. Hata nyoka huvua gamba la zamani ili aweze kukua zaidi ndani ya gwanda jipya. Wao ccm hawana cha kupoteza. Kwao maslahi ya chama kwanza taifa baadaye. Huwezi ukaendelea kutumia mbinu zile zile, taratibu zile zile, maarifa yaleyale utegemee matokeo tofauti. Hakuna mabadiliko, kiuchumi, kisiasa, kidemocrasia yatapatikana hii inchi bila katiba mpya.

Cha kufanya , vuguvugu la katiba mpya liendelee kwa njia zozote zile iwezekanavyo, maana katiba ni kwa ajili ya kizazi hiki ni vizazi vijavyo.
Upo sahihi kwa Lugha nyingine Serikali haitaki Wananchi wawe na Uelewa wa KATIBA MPYA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hiki ni kichekesho cha karne. Mnasema wananchi wanataka katiba mpya- WANATAKA KATIBA MPYA, WANATAKA, WANANCHI. Sasa nyinyi mnawapa elimu gani tena? Nyie ni nani? Hebu tuambieni tena tuwaelewe vizuri
Wanaharakati.
 
Wanao msemo wao maarufu kuwa eti Wananchi hawataki Katiba Mpya Bali wanahitaji Maji,elimu,barabara,afya nk.Wanawazubaisha wananchi kwa kuorodhesha mambo ambayo hata wakoloni walivijenga au walivifanya na bado tuliwafurusha maana Uhuru,Haki,Utu haujawahi kuwa hisani.
Pia watakuambia sisi Wananchi hatuifahamu Katiba hii mbovu hivyo hata Mpya siyo muhimu.Hivi kutokuifahamu Katiba iliyopo kuna uhusiano gani na Mpya?Akili za CCM wanazifahamu wao wenyewe tu na haikosi ndiyo maana chini ya CCM maendeleo in ndoto.

Huo ni msemo wa kijinga kutufanya wajinga sisi na wajanja wao.
 
Huo ni msemo wa kijinga kutufanya wajinga sisi na wajanja wao.
WEWE NA WENZAKO NI WAJINGA TU NDIYO MAANA MNALETEWA MAKONGAMANO YA KATINA MPYA ILI MUONDOLEWE UJINGA- KAMA WEWE SI MJINGA SEMA MAKONGAMANO HAPANA KWA SABABU MIMI SI MJINGA.
 
wananchi ndio wantaka katiba mpya sasa inakuwaje wasiwe na uelewa?
Sisi tunaoitwa hatuelewi Katiba hii iliyopo tunadai Katiba Mpya tutakayoielewa maana tutakuwa tumeiandika wenyewe kuliko kutafuta kuielewa Katiba ya sasa ambayo tumeshindwa kuielewa kuwa ni ya chama au nchi?
Tunamaanisha kuwa hatuna sababu ya kuielewa Katiba ambayo hata walioiandika walidai ni mbovu.
 
Sisi tunaoitwa hatuelewi Katiba hii iliyopo tunadai Katiba Mpya tutakayoielewa maana tutakuwa tumeiandika wenyewe kuliko kutafuta kuielewa Katiba ya sasa ambayo tumeshindwa kuielewa kuwa in ya chama au nchi?
Tunamaanisha kuwa hatuna sababu ya kuielewa Katiba ambayo hata walioiandika walidai in mbovu.
sikuelewi- Hebu twende pole pole.
1. wewe na wenzako msiozidi kumi mnahiita wananchi
2. mnasema mnataka katiba mpya
3. halafu mnajikusanya kujipa elimu kuhusu katiba mpya ka maneno mengine mnafundishana mnachokijua

NYINYI NI WEHU
 
Jumapili njema wakuu!

Huu ndo ukweli wenyewe!
Kwa kengo lile lile la CCM kutawala raia wasio na elimu, ndiyo chanzo cha nguvu kubwa ya kuzuia elimu ya katiba mpya isisambae kwa raia kwa kukataza uwepo wa mijadala ya katiba mpya. Tafiti za huko nyuma zinaonesha wazi shabiki wakubwa wa ccm ni wale ambao hawakwenda shule. Ule msemo wa " mnyime elimu umtawale " ndio unaotumiwa na ccm kwa sasa.

Ccm hawawezi kubali kuona RAIA wakipata elimu ya uraia, katiba na mambo mengine yanayohusu haki za kiraia. Kumbuka makamanda wa polis inchi nzima ni makada wa ccm. Hivyo wanaona kabisa anguko la ccm ni anguko lao. Hivyo basi juhudi za polis kuzuia raia wasielimike kuhusu katiba na umuhimu wake ni juhudi zile zile za chama mfu Ccm. Ccm hawawezi simama jukwaani kutetea katiba iliyopo hivyo hutumia polis kama nguvu yao Ku suppress mjadala wa katiba mpya kinguvu.

Ni wazi taifa linahitaji katiba mpya. Hata nyoka huvua gamba la zamani ili aweze kukua zaidi ndani ya gwanda jipya. Wao ccm hawana cha kupoteza. Kwao maslahi ya chama kwanza taifa baadaye. Huwezi ukaendelea kutumia mbinu zile zile, taratibu zile zile, maarifa yaleyale utegemee matokeo tofauti. Hakuna mabadiliko, kiuchumi, kisiasa, kidemocrasia yatapatikana hii inchi bila katiba mpya.

Cha kufanya , vuguvugu la katiba mpya liendelee kwa njia zozote zile iwezekanavyo, maana katiba ni kwa ajili ya kizazi hiki ni vizazi vijavyo.
Siungani na watu wanaopinga elimu hii iwafikie wananchi.

Lakini kwa upande mwingine naona kama wananchi hawana haja na katiba mpya.

Wananchi hawajawahi kuvutwa kwenye kongamano ili waelimishwe kwamba wananchi hao wenyewe wananjaa,kama njaa wenyewe wanaiona yaani hawahitaji kuelimishwaaa.

Wananchi hawajawahi kukusanywa kuambiwa eti waelimishwe kwamba pesa haipo mtaani,kama uhapa wa pesa wanauona hivyo hawahitaji kuelimishwa.

2ananchi hawajawahi kuitishiwa kongamano kuambiwa eti wananchi hao wanashida na vituo vya afya ,wenyewe shida wanaiona ya vituo vya afya haihitaji elimu ya makongamano kuelewa hilo.

Wananchi hawahitaji kuitwa na kuelimishwa kwamba ajira hakuna watu hawana kazi mtaani,uhaba wa ajira wananchi wanauona hawahitaji elimu hiyo.

Sasa tukija katika suala la katiba naona kabisa kwamba wanaotaka kutoa elimu kuhusu katiba wanapoteza muda watapigwa virungu mpaka wachoke.

Jambo ambalo ni shida halisi ya wananchi wananchi hawahitaji elimu uwaambie shida yao inayowakabili,wenyewe wataona tu.

Kama ambavyo katika shida zingine wananchi wanajionea wenyewe,basi nadhani pia katika jambo hili la katiba waacheni wananchi mpaka wajionee wenyewe umuhimu wa katiba mpya sio kuanza kuwapa elimu.

Kama kweli ishu ya katiba ni ishu inawapa shida wananchi na wanaitaka hasa kwa nini wapewe elimu juu ya jambo ambalo wako nalo wanaliona ?
 
sikuelewi- Hebu twende pole pole.
1. wewe na wenzako msiozidi kumi mnahiita wananchi
2. mnasema mnataka katiba mpya
3. halafu mnajikusanya kujipa elimu kuhusu katiba mpya ka maneno mengine mnafundishana mnachokijua

NYINYI NI WEHU
Umemaliza?Wewe ni nani kuzuia sisi tusiozidi 10 tusijadili Katiba Mpya?Mamlaka hayo kakupa nani?Unapata faida gani kuahambulia wanaodai Katiba na kuwaita wehu?
 
Umemaliza?Wewe ni nani kuzuia sisi tusiozidi 10 tusijadili Katiba Mpya?Mamlaka hayo kakupa nani?Unapata faida gani kuahambulia wanaodai Katiba na kuwaita wehu?
.Unapaza sauti ili kunitisha? Hizo ni dalili za kukosa hoja. Nyie ni wehu tu kwa sababu mambo mnayofanya hayana mantiki.
 
Jumapili njema wakuu!

Huu ndo ukweli wenyewe!
Kwa kengo lile lile la CCM kutawala raia wasio na elimu, ndiyo chanzo cha nguvu kubwa ya kuzuia elimu ya katiba mpya isisambae kwa raia kwa kukataza uwepo wa mijadala ya katiba mpya. Tafiti za huko nyuma zinaonesha wazi shabiki wakubwa wa ccm ni wale ambao hawakwenda shule. Ule msemo wa " mnyime elimu umtawale " ndio unaotumiwa na ccm kwa sasa.

Ccm hawawezi kubali kuona RAIA wakipata elimu ya uraia, katiba na mambo mengine yanayohusu haki za kiraia. Kumbuka makamanda wa polis inchi nzima ni makada wa ccm. Hivyo wanaona kabisa anguko la ccm ni anguko lao. Hivyo basi juhudi za polis kuzuia raia wasielimike kuhusu katiba na umuhimu wake ni juhudi zile zile za chama mfu Ccm. Ccm hawawezi simama jukwaani kutetea katiba iliyopo hivyo hutumia polis kama nguvu yao Ku suppress mjadala wa katiba mpya kinguvu.

Ni wazi taifa linahitaji katiba mpya. Hata nyoka huvua gamba la zamani ili aweze kukua zaidi ndani ya gwanda jipya. Wao ccm hawana cha kupoteza. Kwao maslahi ya chama kwanza taifa baadaye. Huwezi ukaendelea kutumia mbinu zile zile, taratibu zile zile, maarifa yaleyale utegemee matokeo tofauti. Hakuna mabadiliko, kiuchumi, kisiasa, kidemocrasia yatapatikana hii inchi bila katiba mpya.

Cha kufanya , vuguvugu la katiba mpya liendelee kwa njia zozote zile iwezekanavyo, maana katiba ni kwa ajili ya kizazi hiki ni vizazi vijavyo.
Jamani tuache ushabiki usio na tija kwa Tanzania yetu! Hivi ni nani aliyeruhusu Mzee Warioba na timu yake azunguke Tanzania nzima kutoa elimu juu ya umuhimu wa kuwa na Katiba Mapya na kutoa elimu na uelewa juu ya Katiba Mpya na aina gani ya Katiba inawafaa Watanzania? NI NANI kama siyo CCM na Serikali yake? Tusianze kuandika vitu ambavyo watoto na wajukuu wetu wakija kuvisoma wasielewe UKWELI wa mambo kwa ujumla na na suala la Katiba Mpya kwa uhakika.

CCM ndiyo waliotoa vibali vyote, siyo mashinikizo ya aina yoyote kutoka upande wowote, haijarishi ni akina BOB au BBC au CNN au NANI. Mwisho niwahakikishieni kuwa ni hawa hawa CCM na Serikali yao ndio wataleta hiyo Katiba Mpya ambayo kwa sasa wana SIASA UCHWARA au PETTY POLITICIANS wana ivalia njuga sasa na kuifanya mradi wa kufadhiliwa na foreign donors! SSH kasema apewe muda aweke mambo ya kiuchumi na huduma za kijamii SAWA; na si mnaona kesha ANZA, ameanza kusambaza zahanati na maboma ya maskuli kama uyoga! Tumpe muda na hili la Katiba Mpya CCM itatoa kibali mchakato uendelee SIYO ELIMU, hili alishalifanya Mzee Warioba na timu yake.
 
Mkuu hiki ni kichekesho cha karne. Mnasema wananchi wanataka katiba mpya- WANATAKA KATIBA MPYA, WANATAKA, WANANCHI. Sasa nyinyi mnawapa elimu gani tena? Nyie ni nani? Hebu tuambieni tena tuwaelewe vizuri
Jukumu la kutoa somo la katiba Mpya , wajubu wa serikali na asasi zake zote .
Iwapo serikali iliopo madarakani itashindwa kutoa somo kwa Raia wake basi
Hasasi za kijamii zitachukuwa nafasi iyo.
Na hizo Asasi ni pamoja na
1. Vyama vya kisiasa
2.Taasisi binafsi, NGOS kwa aina zake.


Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Jukumu la kutoa somo la katiba Mpya , wajubu wa serikali na asasi zake zote .
Iwapo serikali iliopo madarakani itashindwa kutoa somo kwa Raia wake basi
Hasasi za kijamii zitachukuwa nafasi iyo.
Na hizo Asasi ni pamoja na
1. Vyama vya kisiasa
2.Taasisi binafsi, NGOS kwa aina zake.


Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
unawaza kinyume cha maumbile- yaani mtu anaelewa kisha anesha amua kutaka hicho anachokielewa sasa huyo mtu anahitaji elimu gani sasa
 
Jukumu la kutoa somo la katiba Mpya , wajubu wa serikali na asasi zake zote .
Iwapo serikali iliopo madarakani itashindwa kutoa somo kwa Raia wake basi
Hasasi za kijamii zitachukuwa nafasi iyo.
Na hizo Asasi ni pamoja na
1. Vyama vya kisiasa
2.Taasisi binafsi, NGOS kwa aina zake.


Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Huo ndio ukweli maana Serikali inashindwa kwa makusudi au dhamira yao haina lengo kuwajulisha raia haki na wajibu wao katika husika hivyo asasi mbalimbali zina wajibu wa kufanya hivyo.
 
Jukumu la kutoa somo la katiba Mpya , wajubu wa serikali na asasi zake zote .
Iwapo serikali iliopo madarakani itashindwa kutoa somo kwa Raia wake basi
Hasasi za kijamii zitachukuwa nafasi iyo.
Na hizo Asasi ni pamoja na
1. Vyama vya kisiasa
2.Taasisi binafsi, NGOS kwa aina zake.


Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Serikali hii ya CCM iliishatoa elimu juu ya Katiba Mpya jamani, kwa nini tunasahau mapema hivi!? Hivi ilichofanya Tume ya Warioba hadi tukapata Katiba Pendekezwa na hatimaye Bunge la Katiba na kupata ile Katiba tuliyopaswa kuipigia Kura ya Maoni HAIKUWA ELIMU AU SOMO juu ya Katiba Mpya?! Ninachofahamu mimi ni kuwa wananchi walieleimishwa kwenye semina na mikutano ya hadhara na hatimaye wakatoa maoni yao juu ya Katiba wanayotaka.

Sasa "ninyi" mnataka elimu au somo gani kuhusu Katiba Mpya? Tuelezeni ili sisi tujue na Serikali ijue mnataka nini badala ya kutaka kuufanya huu kuwa project to be financed by donors au mmeshapewa mapesa kuendesha huo mradi!? Nauliza kwani kelele zimezidi sana licha ya SSH kusema "nipeni muda"?1
 
Back
Top Bottom