Zuchu afungiwa kujihusisha na shughuli za sanaa Zanzibar

Sheria humo humo, njaa humo humo, na kuombwa radhi humo humo yani sheria ya hovyo kosa hapo halipo wazi ila wametumia tafsiri yao na utawala,, kosa labda kidogo ishara za mkono zilionyesha alama mbaya ila matamshi na uchezaji kisheria hakuna kosa.
 
Zuchu hana adabu huyu ni wa kupigwa marufuku maisha yake yote asikanyage ardhi ya zanzibar, anafanya umalaya sana na yule muhuni mwenzake diamond, ni vile kama amelaaniwa ni muhuni sana hana dalili ya uislamu, kusema yeye ni muislamu ni kuudhalilisha uislamu, zuchu sio muislamu halafu nashangaa sana mtu kama Haji manara anapewa microphone msikitini kuongea na waislamu haliyakuwa naye yule jamaa ni malaya mbwa muhuni anaishi kimalaya na mwanamke anayetaka wanastarehe clip za video zinaenea duniani kote
Acha kuongelea dini ongelea sheria ya nchi kwanza unajua zanzibar kuna muda nawashangaa sana maadili gani mnatetea daily wazungu mnapishana nao sokoni wamevaa chupi tu ila mtu mweusi mwenzio akivaa suruali tu mwanamke hana maadili😂😂
 
Acha kuongelea dini ongelea sheria ya nchi kwanza unajua zanzibar kuna muda nawashangaa sana maadili gani mnatetea daily wazungu mnapishana nao sokoni wamevaa chupi tu ila mtu mweusi mwenzio akivaa suruali tu mwanamke hana maadili😂😂
Hizi akili za watu weusi ni shida sana
 
Acha kuongelea dini ongelea sheria ya nchi kwanza unajua zanzibar kuna muda nawashangaa sana maadili gani mnatetea daily wazungu mnapishana nao sokoni wamevaa chupi tu ila mtu mweusi mwenzio akivaa suruali tu mwanamke hana maadili😂😂
Mkuu dini Zanzibar ndio maisha yetu, jifunze tafsiri ya neno dini utajua kwanini muda wote tunaongelea maadili, ukiristo hakuna mahali umeongelea maadili kwa sababu ya udhaifu wake ndio mana mnatembea uchi kama ngombe mke mume mnaona ni sawa tu
 
Wewe nenda BASATA kaombe RADHI utajua hujui sisi ni Mamlaka na tuna Sheria zetu tumekupiga Ban na ZANZIBAR utaisikia redioni

UJUE huku Kuna Mamlaka usituletee dharau pambafu

Sasa km hao Basata wanaubavu na wakubanuwe

# SISI NI MAMLAKA KAMILI
 
Sub haanallah, ni mtihani haswaa

Waislamu Nyimbo ni haram, mtaenda kujibu nini kwa Allah! Mavazi mnayovaa ni aibu kwa Muislamu jamani, kwanini hatumuogopi Mwenyezi Mungu, life is too jamani tubuni!

Zanzibar, pigeni marufuku wanamuziki kuingia Zanzibar, Zanzibar ni nchi ya kiislamu.

Allah atujaalie mwisho mwema!
Hata sisi tunajutia kwa Nini nchi ziliungana,,Bora mngebaki kivyenu na uislamu wenu
 
Sisi wen
Mkuu dini Zanzibar ndio maisha yetu, jifunze tafsiri ya neno dini utajua kwanini muda wote tunaongelea maadili, ukiristo hakuna mahali umeongelea maadili kwa sababu ya udhaifu wake ndio mana mnatembea uchi kama ngombe mke mume mnaona ni sawa tu
Sisi wenyewe tunajutia kuungana na nyie,,tunatamani huo muungano usingekuwepo,,mkawa kivyenu na dini yenu
 
Shida hizi mamlaka zinaongozwa na wahuni, mtu kasema mku........., tayari wao wametafsiri ni tusi, ni kweli tusi Kwa waliosoma Cuba ila Kwa kuwa halijamaliziwa ulipaswa kuachwa kama ilivyo na kubaki Kwa raia.

Wao ndo wanazua taharuki na kufanya watu waanze kutafuta clip na kujifanya viral.

Sasa zile nyimbo za Wana Njenje aka Bwana Chuchu ....si wangefungia Kila wimbo kutokana na vile vikorombwezo vya kina Omari mkali K
 
Watamfungulia tu

Wabongo si wanapenda kusikia matusi na ujinga ujinga
Ccm watamtumia kweny kampeni
Pia

Ova
 
Back
Top Bottom